Senior Lecturer
Senior Member
- Jan 19, 2013
- 177
- 74
- Thread starter
- #81
Mi nafikiri ni hisia zako tu zinakudanganya, usikute hata hawazii hayo unayoyafikiri!
Inawezekana! Honey Faith, mtoto wa kike (mke wa mtu) akimfanyia hivi m' me huwa ana maana gani?
- Kaniomba nitafute hotel ya mbali, nje ya mji, ana mazungumzo na mimi (nilipokuwa mbishi, akasema atagharamia yeye kila kitu)!
- Ananipa ratiba zake na za mme wake (zinazohusu kutokuwepo nyumbani kwa mtu wake)
- Kabla sijakata mawasiliano nae, sijawahi kumuona kavaa nguo ndefu, wala kufichwa matiti yake!
- M - pesa yangu ilirushiwa elfu 80, siku 1 kabla ya 8 8 (long w.end), kutoka kwake, nikauliza ya nini? Nikajibiwa wee kaa nayo ntakuambia baadae! Jioni akaniuliza kuhusu ule mtoka aliotaka! Nikairudisha ile pesa, alinuna kama 3 days!
ana vituko vingi sana, hivo ni vichache! Nisaidie ana maana gani mpaka hapo?
Last edited by a moderator: