Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,345
- 108,442
Mkuu Elizabeth kakuchanganya hadi umeamua kutumia ID nyingine...hatari sana
Mkuu Mashaxizo nashukuru sana!
Mkuu FANUEL, nashukuru sana, dunia imeshakuwa sio sehemu salama, hakuna wa kutulinda sisi na watoto wetu, tujilinde wenyewe!
Mkuu kawoli, njoo tu pm, hii kitu ni kweli, na wala sio cha wkt uliopita, ni cha wkt huu, na hapa ninareply post yako, keshanichek anataka aje ofisini kwangu, eti kunisalimia then arudi ofisini kwake!
Mkuu screentouch hapo ntakuwa nimekaribisha matatizo makubwa zaidi