Duh,,mh mh naomba tuanze na watu waliopata tangu 1961,,kuna special tribunal kwa ajiri ya hili au tutatumi hizihizi mahakam zetu ambazo wengi wa waajiliwa wao ni wadeni sugu????waanzae na mawaziri, usalama wa taifa, na wote waliosomeshwa nje ya nchi,,hii operation iwaexclude wasio na ajira au wapewe ajira then ndo muwadai....