Watumishi wa umma tujuzeni hali ya kupandishwa madaraja

MKEHA

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
714
1,137
Mwezi uliopita nilipita halmashauri moja mkoani Geita nilikuta maafisa raslimali watu wakiwa busy kweli kweli wakishughulikia kupanda madaraja kwa watumishi wa umma.

Shughuli zingine zilisimama kupisha zoezi hilo maalum kiasi kwamba kulikuwa na maandishi kwenye kuta za matangazo zikiwata watumishi wenye sifa za kupanda madaraja kupeleka viambata vyao ili waweze kuwekwa kwenye mpango hip.

Mwezi wa Tano umeisha na inaonekana hali ya watumishi imepoa kidogo malalamiko kama yamepungua hivi.

Tunaombeni mrejesho je serikali imeanza kuwapandisha madaraja watumishi wake waliokuwa wakisubiria kwa muda mrefu.

Kama kweli imefanya hivyo inawezekana hata mwezi WA Saba increments zikaanza kutolewa pia.

Kila la kheri watumishi wa umma wa Tanzania.
 
IMG-20190602-WA0009.jpg
 
Zile zilikuwa Mbwembwe na amsha amsha za Mei mosi tu !

Kwani Ujenzi wa miradi mikubwa yenye Tija kwa Taifa imeisha?

Endelea kuwa na Subira na subira ndio Silaha ya Wazalendo
 
Hapo kuna kurushiana mpira. DED hapo sijui anahusikaje japo kwa ngazi ya halmashauri ndiye mwajiri.
Sasa hapo ma DED wamepewa mwezi mmoja kuwalipa mishahara mipya walimu waliopanda madaraja imekaaje?, labda Madaraja ya Kigamboni na Tazara
 
Kama mtumishi ameenda masomoni lakini kabla ya hapo alikuwa katika kituo cha kazi kwa miaka minne mfulizo bila kupanda daraja, je huyu mnamweka katika nafasi ipi?
Masomoni hakuna kupanda kwa sheria gani sijui wakati kujiendeleza ni haki ya mtumishi
 
Mwezi uliopita nilipita halmashauri moja mkoani Geita nilikuta maafisa raslimali watu wakiwa busy kweli kweli wakishughulikia kupanda madaraja kwa watumishi wa umma.

Shughuli zingine zilisimama kupisha zoezi hilo maalum kiasi kwamba kulikuwa na maandishi kwenye kuta za matangazo zikiwata watumishi wenye sifa za kupanda madaraja kupeleka viambata vyao ili waweze kuwekwa kwenye mpango hip.

Mwezi wa Tano umeisha na inaonekana hali ya watumishi imepoa kidogo malalamiko kama yamepungua hivi.

Tunaombeni mrejesho je serikali imeanza kuwapandisha madaraja watumishi wake waliokuwa wakisubiria kwa muda mrefu.

Kama kweli imefanya hivyo inawezekana hata mwezi WA Saba increments zikaanza kutolewa pia.

Kila la kheri watumishi wa umma wa Tanzania.
61349019_891228821218282_731796069993676800_n.jpg
 
Mwezi uliopita nilipita halmashauri moja mkoani Geita nilikuta maafisa raslimali watu wakiwa busy kweli kweli wakishughulikia kupanda madaraja kwa watumishi wa umma.

Shughuli zingine zilisimama kupisha zoezi hilo maalum kiasi kwamba kulikuwa na maandishi kwenye kuta za matangazo zikiwata watumishi wenye sifa za kupanda madaraja kupeleka viambata vyao ili waweze kuwekwa kwenye mpango hip.

Mwezi wa Tano umeisha na inaonekana hali ya watumishi imepoa kidogo malalamiko kama yamepungua hivi.

Tunaombeni mrejesho je serikali imeanza kuwapandisha madaraja watumishi wake waliokuwa wakisubiria kwa muda mrefu.

Kama kweli imefanya hivyo inawezekana hata mwezi WA Saba increments zikaanza kutolewa pia.

Kila la kheri watumishi wa umma wa Tanzania.
Mkuu hatujui wanaopandishwa ni wa kuanzia mwaka gani, hakuna uwazi katika hili. Pia kuna variations kwa halmashauri na halmashauri
 
Mkuu hatujui wanaopandishwa ni wa kuanzia mwaka gani, hakuna uwazi katika hili. Pia kuna variations kwa halmashauri na halmashauri
Kulitakiwa kuwe na SI unit kama kwenye Physics. Watu wajue kabisa status zao kama wanapanda ama laa
 
Mwezi uliopita nilipita halmashauri moja mkoani Geita nilikuta maafisa raslimali watu wakiwa busy kweli kweli wakishughulikia kupanda madaraja kwa watumishi wa umma.

Shughuli zingine zilisimama kupisha zoezi hilo maalum kiasi kwamba kulikuwa na maandishi kwenye kuta za matangazo zikiwata watumishi wenye sifa za kupanda madaraja kupeleka viambata vyao ili waweze kuwekwa kwenye mpango hip.

Mwezi wa Tano umeisha na inaonekana hali ya watumishi imepoa kidogo malalamiko kama yamepungua hivi.

Tunaombeni mrejesho je serikali imeanza kuwapandisha madaraja watumishi wake waliokuwa wakisubiria kwa muda mrefu.

Kama kweli imefanya hivyo inawezekana hata mwezi WA Saba increments zikaanza kutolewa pia.

Kila la kheri watumishi wa umma wa Tanzania.
Watumishi wa umma hebu kuweni watulivu wakati tunashughulikia miradi mikubwa 2 Mh.amesema mambo mazuri yanakuja mna haraka ya vyeo ili iweje?
 
Back
Top Bottom