ni chini ya 18% kwa mwaka?Riba ni yakawaida sana mkuu inawezekana hukuelewa tu.
ukicompare na wengine sisi ni bora
Sent using Jamii Forums mobile app
ni chini ya 18% kwa mwaka?Riba ni yakawaida sana mkuu inawezekana hukuelewa tu.
ukicompare na wengine sisi ni bora
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee nyie hamfai kabisa, mna hidden cost nyingi, interest zenu ni kubwa sanaMaisha ni kupanga, ukipanga vizuri ni lazima ufanikiwe..
Kama unahitaji pesa chap chap kuanzia laki 1 na kuendelea kwa ajili ya matibabu, biashara au Elimu karibu kampuni ya PLATINUM CREDIT LTD kwa mawasiliano zaidi +255 764 734 698 au WhatsApp +255 689 462 901 huduma ni 24/7
Sent using Jamii Forums mobile app
Salary slipHuyo mtumishi wa umma akitaka kukopa anatakiwa awe na nini na nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu taasisi yetu ni very open tena unajaza mkataba ambao unaweza kuutumia kisheria endapo kampuni ikienda tofauti....by the way haijawai kutokeaAisee nyie hamfai kabisa, mna hidden cost nyingi, interest zenu ni kubwa sana
Mnaumiza watumishi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hapa hamuwasiliani? Au unaelewa nini kuhusu mawasiliano[emoji56][emoji4]Ukitaka maelezo zaidi mkuu kuna mawasiliano, tuwasiliane nikujuze zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila kitu naweza ongea hapa mkuu that's why kuna namba kwa ajili ya kukuelekeza ofisi kulingana na eneo uliko, ukiwa na uhitaji utapatiwa huduma ofisini zilizokaribu naweUkiona kampuni haiwezi kutaja riba yake hadharani hiyo ni ya kuogopa kama ukoma, HIV, hepatitis B, nk
Nilihitaji kuongea nae binafsiKwani hapa hamuwasiliani? Au unaelewa nini kuhusu mawasiliano[emoji56][emoji4]
Kama kuna mawasilianoUkitaka maelezo zaidi mkuu kuna mawasiliano, tuwasiliane nikujuze zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni GARI litakuwa lina 8 cylinder, CC 5,000jini mnyonya mshahara
100000 kwa miezi 3 makato 42833 kwa mwezi.Ni lazima watumishi wa umma je mtumishi binafsi
[emoji375][emoji375]
Ili yatumike kuwasiliana na watu wenye shida, kama haikuhusu sio lazima kucommentKama kuna mawasiliano
Umeleta hapa hadharan tangazo lako ili iweje sasa.
Hili tangazo lako nalo si ungepeleka huko huko kwenye MAWASILIANO
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukikopa laki unaludisha milioni mkuuLete mashariti ya kukopa shilingi Laki moja na makato yake kwa muda husika.
Kama kielelezo.
Sent using Jamii Forums mobile app