Watumishi TFS Manyara walitakiwa wawe nyuma ya nondo. Waligundua hatari wakakaa kimya hadi maafa yametokea

Hasira za bure tu.

Hata kama wangeambiwa kwamba kuna hatari bado wangebakia hapo hapo kwa kigezo kwamba wao ni wenyeji wa siku nyingi hapo na hukujawahi kutokea shida.

Kisarawe pale Msitu wa Kazimzumbwi tope lilimeguka na kufunga barabara ya Kisarawe-Dar Es Salaam

Cha msingi wananchi wawe macho na miinuko.

Hii ni Elinino haiitanii, ni vurugu mechi
Tafakari vizuri kazi ya kichwa sio kuandika andika hovyo.
Kukiwa na dalili ya volcano mlima kilimanjaro tusiwaambie kwa sababu hawatatoka?
Pumbavu kabisa.
 
Tafakari vizuri kazi ya kichwa sio kuandika andika hovyo.
Kukiwa na dalili ya volcano mlima kilimanjaro tusiwaambie kwa sababu hawatatoka?
Pumbavu kabisa.
Povu la nini sasa. Kilimanjaro kwenyewe kuna dalili za mlipuko.

Mwaka huu mwanzoni paligundulika majani kuungua maaneo ya Rombo.

Media zimeandika, ila kwa kuwa watu hawajali basi wanaendelea na shughuli as if hamna jambo.
 
Povu la nini sasa. Kilimanjaro kwenyewe kuna dalili za mlipuko.

Mwaka huu mwanzoni paligundulika majani kuungua maaneo ya Rombo.

Media zimeandika, ila kwa kuwa watu hawajali basi wanaendelea na shughuli as if hamna jambo.
Rombo watafiti si walisema ni jambo la kawaida hakutakuwa na madhara yoyote.
 
Serikali ilitakiwa ipeleke magreda Kwa ajili ya kuondoa vifusi na Tope , Cha ajabu wananchi ndio wameamua kwenda na majembe baada ya kukosa msaada serikalini,

Helkopta badala zifanye shughuli zao za uwokozi,zenyewe ni kubeba tu viongozi, 🇹🇿 ni 🚮
 
Ukimsikiliza huyu Jamaa unaona kabisa anakera na kutia hasira na Yuko comfortable kabisa kusimulia ujinga.

Yaani watu waligundua kabisa tena baada ya kupewa taarifa na wenyeji kwamba kuna hatari ya Maporomoko ya udongo Toka mwaka Jana ila wakakausha Hadi Maafa yametokea halafu ndio anasimulia.

Hii Nchi tutaendelea kupata hasara ya maisha, Mali nk kama tutaendelea kuchekeana Kwa uzembe wa namna hii.

Aisee washukuru Mimi sio Rais, saa hii mngekuwa nyuma ya nondo Kwa Mashtaka ya mauaji.

Pia soma> Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63

@Mods,Kwa nini mumeondoa video niliyoambatanisha kutoka kwenye interview ya Mwandishi wa Clouds aliyeko site?

Na Mbaya zaidi mumewasiliana na watu wa clouds wamefuta hiyo video.

The moments naiweka hapa ilishakiwa na wachangiaji 180 wakilaumu Mamlaka(TFS) kwamba kumbe walijua ila Wakakausha.

Kwa staili hii,Je jf inaaminiwa kweli?
Dah kumbe weka basi text mdau alisemaje? Kama ni kweli basi ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa wawajibike
 
Ukimsikiliza huyu Jamaa unaona kabisa anakera na kutia hasira na Yuko comfortable kabisa kusimulia ujinga.

Yaani watu waligundua kabisa tena baada ya kupewa taarifa na wenyeji kwamba kuna hatari ya Maporomoko ya udongo Toka mwaka Jana ila wakakausha Hadi Maafa yametokea halafu ndio anasimulia.

Hii Nchi tutaendelea kupata hasara ya maisha, Mali nk kama tutaendelea kuchekeana Kwa uzembe wa namna hii.

Aisee washukuru Mimi sio Rais, saa hii mngekuwa nyuma ya nondo Kwa Mashtaka ya mauaji.

Pia soma> Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63

@Mods,Kwa nini mumeondoa video niliyoambatanisha kutoka kwenye interview ya Mwandishi wa Clouds aliyeko site?

Na Mbaya zaidi mumewasiliana na watu wa clouds wamefuta hiyo video.

The moments naiweka hapa ilishakiwa na wachangiaji 180 wakilaumu Mamlaka(TFS) kwamba kumbe walijua ila Wakakausha.

Kwa staili hii,Je jf inaaminiwa kweli?
Ulidhani umejificha?!! 😂😂🔥
 
Back
Top Bottom