Nawaita Waje Kukupa UshauriKila nikibakiwa na mb 30-40 naambiwa nimemaliza kifurushi sijui tatizo nin?
Karibu mitandao yoteKwangu zikiwa chini ya mbs 100 apps hazifunguki ila browser inafunguka vzuri tu hata chini ya mbs 10 sijui shida nn yas
Tumia VPN huwa inakubali kumalizia MB zakoKila nikibakiwa na mb 30-40 naambiwa nimemaliza kifurushi sijui tatizo nin?
Ikoje hii mkuu?Ndio maana Mimi huwa natumia unlimited data
Kwamba unataka usilipe kisa umekopa 100?Hili NI janga la kitaifa . Yas badilikeni .Voda wakikukopesha wanataka uwalipe hata Kama DENI NI sh.100
Mkuu nilikuwa na DENI la 2100 nikaweka vocha ya buku 2 ikabaki Mia nilipoomba mkopo WA 1000 wakagoma mpaka nilipe na Ile 100 was that fair ?Kwamba unataka usilipe kisa umekopa 100?
Ni matumizi ya internet bila Kikomo unapewa router unakuwa unalipia hivi vifurushi Mimi natumia ya Yas mkuuIkoje hii mkuu?
Yas yako inajazwa mara ngapi kwa wiki?Kila nikibakiwa na mb 30-40 naambiwa nimemaliza kifurushi sijui tatizo nin?
Nimehamia airtel baada ya mazing zong mengi sana kutoka katika mtandao wa Yas.Kila nikibakiwa na mb 30-40 naambiwa nimemaliza kifurushi sijui tatizo nin?