Watumiaji wa YAS naomba msaada

Watumiaji wa YAS naomba msaada

Mkuu nilikuwa na DENI la 2100 nikaweka vocha ya buku 2 ikabaki Mia nilipoomba mkopo WA 1000 wakagoma mpaka nilipe na Ile 100 was that fair ?
Kwahy ulitakaje, kwamba kisa umelipa 98% ya deni bc hiyo nyingine usamehewe?
Kumbe wahuni
Wabongo bhana, cjui mna matatizo gn ya akili. sasa hapo uhuni uko wapi, Yn umekopa umetumia kwa raha zako ila kulipa deni ndo unaona uhuni?
 
Kwahy ulitakaje, kwamba kisa umelipa 98% ya deni bc hiyo nyingine usamehewe?

Wabongo bhana, cjui mna matatizo gn ya akili. sasa hapo uhuni uko wapi, Yn umekopa umetumia kwa raha zako ila kulipa deni ndo unaona uhuni?
Airtel na yas unaweza kukopa ucpo malza deni
 
Kila nikibakiwa na mb 30-40 naambiwa nimemaliza kifurushi sijui tatizo nin?
Bora wewe ni 30-40 mimi 70-90
Sijui wanashida gani?!
Na uko bungeni jana na leo wamelamba laki 6, 6 za kodi zetu kwa kumnanga lissu siku mbili mfululizo
 
Kila nikibakiwa na mb 30-40 naambiwa nimemaliza kifurushi sijui tatizo nin?
Hao Mixx by Nyash hawataki ujiunge vifurushi vya kimaskini. Weka bando la kuanzia buku 10 hautatumiwa meseji wala nini.
 
Hao Mixx by Nyash hawataki ujiunge vifurushi vya kimaskini. Weka bando la kuanzia buku 10 hautatumiwa meseji wala nini.
Kama Lisu anajitowa sadaka kutetea watu wenye akili kama hizi huu ni msiba mzito.
 
Hata Mimi ila ukitaka kuzimaliza wewe fungusa Facebook zitatumika tu hamna namna.
 
Bora wewe ni 30-40 mimi 70-90
Sijui wanashida gani?!
Na uko bungeni jana na leo wamelamba laki 6, 6 za kodi zetu kwa kumnanga lissu siku mbili mfululizo
Kadri simu inavyokua na uwezo mkubwa ndivyo MB nyingi zinabaki pending zikishindwa kutumika.

Kuna anbao zikibaki MB 15 internet haifanyi kazi japo ukiangalia salio unazikuta
 
Back
Top Bottom