Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,089
- 104,541
Kwahy ulitakaje, kwamba kisa umelipa 98% ya deni bc hiyo nyingine usamehewe?Mkuu nilikuwa na DENI la 2100 nikaweka vocha ya buku 2 ikabaki Mia nilipoomba mkopo WA 1000 wakagoma mpaka nilipe na Ile 100 was that fair ?
Wabongo bhana, cjui mna matatizo gn ya akili. sasa hapo uhuni uko wapi, Yn umekopa umetumia kwa raha zako ila kulipa deni ndo unaona uhuni?Kumbe wahuni