Watuhumia 47 wa vya kulevya washikiriwa huko Kilimanjaro

Kitikiti

JF-Expert Member
Nov 4, 2015
353
249
Walioshikiliwa 47 huko Kilimanjaro na kwengeneko Tz na Duniani, yaani wa Tanzania hivi Bunge lilijadili vipi hili suala?. Au walisemaje?.

20170202_191237.jpg

20170202_191245.jpg
 
Bunge lilijadili vipi kuhusu madawa? Nalisikia ladio mbao kuwa walitaja mali za naniii. Au????? Suluisho la madawa ni walisemaje?
 
Bunge lilijadili vipi kuhusu madawa? Nalisikia ladio mbao kuwa walitaja mali za naniii. Au????? Suluisho la madawa ni walisemaje?
Baada ya Makonda kuboronga katika utaratibu wa kudeal na madawa ya kulevya,wabunge walimshauri Rais amteue kamishina wa Madawa ya kulevya ambaye ataifanya kazi hiyo kwa kufuata misingi inayotakiwa na mh Rais aliweza kuupokea ushauri wao na kumteua kamishina wa Madawa ya kulevya Kama wabunge walivyoshauri.
 
Lazima tuyapange madawa katika groups.kitu kama bange shisha mirungi na ugoro ni kuwafanya askari wetu wawe bize kunusa midomo ya wananchi,tukomae na class A drugs.Heroine,cocaine,methamphetamine,mandrax,lsd,hizi ndio dawa hatari kabisa.
Tushiriki sote kukomesha yote.
 
Baada ya Makonda kuboronga katika utaratibu wa kudeal na madawa ya kulevya,wabunge walimshauri Rais amteue kamishina wa Madawa ya kulevya ambaye ataifanya kazi hiyo kwa kufuata misingi inayotakiwa na mh Rais aliweza kuupokea ushauri wao na kumteua kamishina wa Madawa ya kulevya Kama wabunge walivyoshauri.
Aliboronga kumkamata msani akiwa na malevisho? Hata South America hawawapendi wapinga madawa.

Watu wanamuzungumuzia Mako na sio solution ya madawa au????

Tuzungumuze tatizo na sio mutu.
 
Lazima tuyapange madawa katika groups.kitu kama bange shisha mirungi na ugoro ni kuwafanya askari wetu wawe bize kunusa midomo ya wananchi,tukomae na class A drugs.Heroine,cocaine,methamphetamine,mandrax,lsd,hizi ndio dawa hatari kabisa.
wewe utakuwa unatumia bangi si bure
 
Pombe pia si inalevya? na inamadhara, hii sio nchi ya kilokole.
Mbona Ndugu zetu wapendwa WAISILAMU pia hawapendi pombe. Nao pia wameokoka kutumia pyombe.

Nawapenda na kuwaheshimu WAISLAMU KWANI WAMEBARIKIWA.
 
Walioshikiliwa 47 huko Kilimanjaro na kwengeneko Tz na Duniani, yaani wa Tanzania hivi Bunge lilijadili vipi hili suala?. Au walisemaje?.

View attachment 469561
View attachment 469560
Mwanza,Kilimanjaro wameitikia harakat za kupambana na dawa za kulevya,si kwa maelekezo ya waziri wa mambo ya ndani bali kwa filimbi za RC wa Dar es Salaam.
Hapo ndo waziri wa mambo ya ndani anapopaswa kujiangalia vizuri TAI YAKE
 
Lazima tuyapange madawa katika groups.kitu kama bange shisha mirungi na ugoro ni kuwafanya askari wetu wawe bize kunusa midomo ya wananchi,tukomae na class A drugs.Heroine,cocaine,methamphetamine,mandrax,lsd,hizi ndio dawa hatari kabisa.
NI KWELI KABISA MIRUNGI KAMA KENYA WANATAFUNA KAMA PIPI.KWAO NI KITU CHA KAWAIDA.LAZIMA KUWE NA GRADE.HASA TAZAMENI VYENYE MADHARA MAKUBWA .MFANO GONGO HUWEZI KULINGANISHA NA CHIBUKU
 
Mwanza,Kilimanjaro wameitikia harakat za kupambana na dawa za kulevya,si kwa maelekezo ya waziri wa mambo ya ndani bali kwa filimbi za RC wa Dar es Salaam.
Hapo ndo waziri wa mambo ya ndani anapopaswa kujiangalia vizuri TAI YAKE
Mh. Makonda alitoa kauli toka moyoni yaani kiundani na kuwagusa wengi. Muhimu ni issue yenyewe au jambo la madawa na sio uMakonda. Sasa wengi wanalalama u watu au umtu wala sio janga la madawa ya kulevya la kidunia.
 
Back
Top Bottom