Kabadilisha user name
Nafikiri ingekuwa vema nisipoitajaAnatumia ipi siku hizi?
Wamusize he?Napenda kumuulizia huyu mdau... Simuoni Humu jamvini
Hapana mkuu mimi sio yeye bwana. watu8 yupo kabisa tena juzi tulikutana kwenye uzi fulani nimesahau tu. Ila yupoMkuu mnafanana vitu vingi na watu8, hasa hili la kupendwa na ID za kike. Huwa nahisi wewe ndo watu8...
Ndiyo
Bweni la njuka