real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Watu zaidi ya 20 wamefariki kwenye ajali iliyohusisha zaidi ya magari 10 kwenye eneo hatari la Sachangwan kwenye barabara kuu ya Nakuru - Eldoret
Taarifa zinaonyesha dereva wa lori lililokuwa linaelekea Nakuru alikuwa akikimbizwa na maafisa wa Mamlaka ya Usalama wa Usafirishaji (NTSA) na dereva huyo kupoteza uelekeo wa lori hilo na kugonga magari manne yaliyokuwa yanakuja upande wake, magari hayo ni basi aina ya Coast, Nissan Matatu nne, lori jingine na magari kadhaa ya binafsi
Hii inakuja masaa kadhaa baada ya watu 13 kufariki kwenye ajali mbaya iliyotokea usiku wa Jumatatu (Disemba 11) kweny daraja la Kamukuywa kwenye barabara kuu ya Webuye-Kitale
Jumamosi iliyopita (Disemba 9) ajali nyingine mbili zilisababusha vifo vya watu
============================================================
At least twenty people are feared dead following a multiple car crash at the dreaded Sachangwan area on the Nakuru-Eldoret highway.
Reports indicate that a truck driver heading to Nakuru was being chased by National Transport and Safety Authority (NTSA) officials when he lost control of the truck and hit oncoming vehicles; a Modern Coast bus, four Nissan Matatus, a truck and several other private vehicles.
Survivors were rushed to MediHeal and Nakuru Level Five Hospitals in Nakuru town, with rescue teams indicating that the number of causalities is likely to increase.
This comes hours after 13 other people died in a gruesome road accident, which occurred Monday night (December 11) at the Kamukuywa Bridge black spot on the Webuye-Kitale highway.
Last weekend, 28 people died following two separate accidents that occurred on Saturday (December 9). One of the accidents killed 21 people in Baringo after an Administration Police (AP) lorry lost control and veered off the road, while the other, involving a Toyota Probox claimed the lives of seven musicians from the popular Kenene international band, a well known Kalenjin music group
Source: Citizen Tv
Taarifa zinaonyesha dereva wa lori lililokuwa linaelekea Nakuru alikuwa akikimbizwa na maafisa wa Mamlaka ya Usalama wa Usafirishaji (NTSA) na dereva huyo kupoteza uelekeo wa lori hilo na kugonga magari manne yaliyokuwa yanakuja upande wake, magari hayo ni basi aina ya Coast, Nissan Matatu nne, lori jingine na magari kadhaa ya binafsi
Hii inakuja masaa kadhaa baada ya watu 13 kufariki kwenye ajali mbaya iliyotokea usiku wa Jumatatu (Disemba 11) kweny daraja la Kamukuywa kwenye barabara kuu ya Webuye-Kitale
Jumamosi iliyopita (Disemba 9) ajali nyingine mbili zilisababusha vifo vya watu
============================================================
At least twenty people are feared dead following a multiple car crash at the dreaded Sachangwan area on the Nakuru-Eldoret highway.
Reports indicate that a truck driver heading to Nakuru was being chased by National Transport and Safety Authority (NTSA) officials when he lost control of the truck and hit oncoming vehicles; a Modern Coast bus, four Nissan Matatus, a truck and several other private vehicles.
Survivors were rushed to MediHeal and Nakuru Level Five Hospitals in Nakuru town, with rescue teams indicating that the number of causalities is likely to increase.
This comes hours after 13 other people died in a gruesome road accident, which occurred Monday night (December 11) at the Kamukuywa Bridge black spot on the Webuye-Kitale highway.
Last weekend, 28 people died following two separate accidents that occurred on Saturday (December 9). One of the accidents killed 21 people in Baringo after an Administration Police (AP) lorry lost control and veered off the road, while the other, involving a Toyota Probox claimed the lives of seven musicians from the popular Kenene international band, a well known Kalenjin music group
Source: Citizen Tv