UJAMBAZI DAR: Watu wenye silaha wakiwa na pikipiki wamemuua kwa risasi mkuu idara ya kilimo Ilala, F. Luambano na kumpora mkoba Tabata.
Jeshi la Polisi limethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
kazi tunayo...UJAMBAZI DAR: Watu wenye silaha wakiwa na pikipiki wamemuua kwa risasi mkuu idara ya kilimo Ilala, F. Luambano na kumpora mkoba Tabata.
Jeshi la Polisi limethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Uhuni Tanzania we learned from the best the one and only one CCM. Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika.BANKERS TELLERS /
now telling bandits!!
or
payer infos to bandits!
tuwe makini na watulipao!/
UJAMBAZI DAR: Watu wenye silaha wakiwa na pikipiki wamemuua kwa risasi mkuu idara ya kilimo Ilala, F. Luambano na kumpora mkoba Tabata.
Jeshi la Polisi limethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Hakika hali ni mbayaMiaka 20 iliyopita tulitahadharisha athari za kuruhusu biashara ya silaha Tanzania wakati ule hakukuwa na mitandao ya kijamii, kelele zetu tuluzipiga kupitia magazetini, makala zile zilipata upinzani wa kutosha hasa toka jeshi la polisi leo hii madhara yako dhahiri na jeshi liko kimya
pia huuko mipakani kupo loose ma ak 47 yapo kwa majambazi aisee hatari saaana hii nji si salama kabisa kwakweli kwa sasa ukiwa uko maeneo ya bank unajipitia uwe makini unaweza shtuka risasi imekuingia wakati huna hata mia mfukoniHakika hali ni mbaya