matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,586
- 15,369
Tabia ni kama ngozi, haivuliki kirahisi.
Hata mwenye tabia ya wizi, akikaa bila kuiba na akaishiwa kabisa hadi pesa ya kula, atakuwa mpole ila ukimsaidia akichangamka atakuibia tu.
Watu wengi sana leo hawana kazi, wanasema wako tayari kufanya kazi hata mochwari za marehemu wa ajali mbalimbali lakini wanasahau kuwa bado wanatabia za wizi, utapeli, uvivu, majungu, uhuni zimefichwa na ukusefu wao wa mchongo wa ajira.
Kipindi huna kazi ni kipindi pia cha kushughulikia tabia ambazo zitakugharimu hata ukipata hiyo kazi.
Amka mapema
Heshimu watu unaowazidi na wanaokuzidi.
Jijengee uqminifu na kuaminika
Fanya kitu zaidi ya ulivyoelekezwa (jiongeze)
Epuka majungu na masengenyo
Hata mwenye tabia ya wizi, akikaa bila kuiba na akaishiwa kabisa hadi pesa ya kula, atakuwa mpole ila ukimsaidia akichangamka atakuibia tu.
Watu wengi sana leo hawana kazi, wanasema wako tayari kufanya kazi hata mochwari za marehemu wa ajali mbalimbali lakini wanasahau kuwa bado wanatabia za wizi, utapeli, uvivu, majungu, uhuni zimefichwa na ukusefu wao wa mchongo wa ajira.
Kipindi huna kazi ni kipindi pia cha kushughulikia tabia ambazo zitakugharimu hata ukipata hiyo kazi.
Amka mapema
Heshimu watu unaowazidi na wanaokuzidi.
Jijengee uqminifu na kuaminika
Fanya kitu zaidi ya ulivyoelekezwa (jiongeze)
Epuka majungu na masengenyo