Tupeni mrejesho kama mna furaha kweli!
Leo ukiangalia ndoa nyingi zimepooza na kufunikwa na wingu zito la mizozo kila kukicha
Ukiwauliza wanandoa wengi husema Mwanzoni mwa ndoa yetu tulipendana kwa dhati,lakini shauku na penzi letu siku hizi imepotea.
Hakuna urafiki mzuri kati yetu kama hapo awali wala hatufurahii kuwa pamoja,hata kucheka inakuwa tatizo pamoja na kulala kitanda kimoja na ushirika wao katika mambo mengi.
Ndoa zingine wana ndoa hawawezi hata kujadili matatizo yao kwa pamoja, mbaya zaidi kufanya mapenzi kwao imekuwa kama wajibu badala ya starehe.
Hii ni hatari maana hakuna mtu kati yao anayejisikia shauku ya mapenzi kwa mwenzi wake.
Ukichunguza sio kwamba kuna mtu anatoka nje ya ndoa hapana utawasikia wanasema ndoa yetu haina upendo.
Matatizo ya ndoa yapo mengi na yanatofautiana ndoa na ndoa,lakini vilio vingi vya ndoa vinafanana.
Nyongeza : Ambao hatujaolewa tunatamani kweli Kuingia kwenye ndoa .
Location: Napita kwa huzuni.
Wewe upo kundi gani lady?Married and bored or single and lonelyyy
Hupati vyote
Kibali umekitupa mwenyewe handsome...Kigori, tuyaache hayo tuyamalize basi mpenzi wangu. Nikuombe msamaha mara ngapi eti? Nifanyeje nipate tena kibali moyoni mwako.
Mhenga wangu mimi, mbona mie huwa nakuzoom nakupata eti...Daaah. Sakayo ningejua pa kukupata kila siku ningekupata, ila kama najua sijui, embu nidokeze basi niwe nakuzooom na mimi,
NB: PM hata sifungagi, si unajua joto mjini inatulazimu tulale mlango wazi, wewe je?
nakutafutaga sana sema sikuoni 😢 😢Kibali umekitupa mwenyewe handsome...
Hivi nisingekusalimia ungenisemesha?
Usaliti wako hauna mfano
Najitaidi nikuelewe lakini...something missing, is like code uncoded, give me a root to follow. Nawasiwasi umenidukua wewe😂😂😂 .Mhenga wangu mimi, mbona mie huwa nakuzoom nakupata eti...
N.B: pm nimefunga, si unajua mjini wajanja wengi watanidukuaa?!
Married and boredWewe upo kundi gani lady?
Married and bored
Ni majukumu zaidi than romanceWhy bored honey
Wanaolalamika na kusema ndoa ni tatizo hawajitambui. KwaniMatatizo ya ndoa yapo mengi na yanatofautiana ndoa na ndoa,lakini vilio vingi vya ndoa vinafanana.
Ilo lipo wazi linajulikana wengi wako ndoani basi tuu kwa sababu wanahofia mengi wakitaka kutoka..aidha watoto..watu watasemaje..ntakaa wapi..nk..ila wengi ni mateso tuu..poleni ila mm binafsi Sintavumilia hata kidogo mambo ambayo yanarekebishika.TAFITI UMEFANYA LINI MKUU UKAGUNDUA HIVYO
Mmmhhhnakutafutaga sana sema sikuoni
Mejikuta nacheka kwa sauti mimi jamani...Najitaidi nikuelewe lakini...something missing, is like code uncoded, give me a root to follow. Nawasiwasi umenidukua wewe .
Mfano unakuta mzazi mwenzio ni mkorofi vibaya yani akilianzisha ni atari huwa hajali. Na tayari mmezaa muna watoto wengine wadogo, wengine wapo skuli. Sasa hapo unafikiri hutavumilia kweli? Basi huna huruma na wanao.Ilo lipo wazi linajulikana wengi wako ndoani basi tuu kwa sababu wanahofia mengi wakitaka kutoka..aidha watoto..watu watasemaje..ntakaa wapi..nk..ila wengi ni mateso tuu..poleni ila mm binafsi Sintavumilia hata kidogo mambo ambayo yanarekebishika.
Ni majukumu zaidi than romance