MBUFYA
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 445
- 68
Mama na watoto wawili wameteketea kwa moto, ulio sababishwa na kuungua kwa nyumba walio kuwa wanaishi. ajali hiyo imetokea maeneo ya ilemi mbeya, chanzo cha moto inasemekana ni shoti ya umeme.
tukio hili ni la pili, kwani pia juzi mtu mmoja na mkewe wamefariki dunia kwa shoti ya umeme maeneo hayo hayo.
tukio hili ni la pili, kwani pia juzi mtu mmoja na mkewe wamefariki dunia kwa shoti ya umeme maeneo hayo hayo.