Forgo
Member
- Apr 7, 2016
- 27
- 60
1: Walimuuwa Alphonce Mawazo (Chadema) kwa mapanga mchana kweupe.
2: Walimteka mwanamuziki Roma mkatoliki anayefanya harakati za kuikosoa serikali kupitia nyimbo zake na kumtesa kwa siku kadhaa halmanusra kumuuwa.
3: Walimzonga Nape Nnauye alipotofautiana na Serikali kuu na mmoja wao akaitoa bastora na kutaka kumshuti kichwani.
4: Huuwa watu na kuwafunga mikono na miguu na kisha kuwaweka ndani ya sandarusi na kuwatupilia mtoni au baharini.
5: Wamempiga risasi Mhe Lissu (Mbunge Chadema) na sasa yupo anapigania uhai wake.
6: Walivamia Clouds media wakiwa na mitutu ya bunduki wakiongozwa na Daudi Bashite.
7: Walimtowesha Benard Focus Saanane na mpaka sasa nchi nzima hatujui yu hai au wameshamuuwa.
»Kwanini Tanzania? (Sababu wenye akili wanaamua kuachana na siasa na wapumbavu ndio wanapewa madaraka).
»Kwanini wakati huu wa utawala wa Rais Magufuli? (Sababu hakushinda, alipitishwa kwa ubovu wa KATIBA tuliyonayo na ameonja utamu wa kuwa Rais na Amri jeshi mkuu na sasa anataka kutawala mpaka umauti utakapomfika).
»Kwanini ni wale tu wanaoipinga na kuikosoa serikali hii ya Magufuli? (Sababu hawa ndio watamkwamisha katika jitihada zake zakubakia madarakani milele).
Kwa akili zakipuuzi bado kuna mtu ataendelea kutowajua watu wasiojulikana na kuwaita ni watu wasiojulikana.
Tumezoeshwa ujinga na ujinga ndiyo jadi yetu.
#Lissu atapona kwa uweza wa Mungu na KATIBA kamwe haitobadilika @Mzinza_muuwaji_unayejulikana
Pia soma Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
2: Walimteka mwanamuziki Roma mkatoliki anayefanya harakati za kuikosoa serikali kupitia nyimbo zake na kumtesa kwa siku kadhaa halmanusra kumuuwa.
3: Walimzonga Nape Nnauye alipotofautiana na Serikali kuu na mmoja wao akaitoa bastora na kutaka kumshuti kichwani.
4: Huuwa watu na kuwafunga mikono na miguu na kisha kuwaweka ndani ya sandarusi na kuwatupilia mtoni au baharini.
5: Wamempiga risasi Mhe Lissu (Mbunge Chadema) na sasa yupo anapigania uhai wake.
6: Walivamia Clouds media wakiwa na mitutu ya bunduki wakiongozwa na Daudi Bashite.
7: Walimtowesha Benard Focus Saanane na mpaka sasa nchi nzima hatujui yu hai au wameshamuuwa.
»Kwanini Tanzania? (Sababu wenye akili wanaamua kuachana na siasa na wapumbavu ndio wanapewa madaraka).
»Kwanini wakati huu wa utawala wa Rais Magufuli? (Sababu hakushinda, alipitishwa kwa ubovu wa KATIBA tuliyonayo na ameonja utamu wa kuwa Rais na Amri jeshi mkuu na sasa anataka kutawala mpaka umauti utakapomfika).
»Kwanini ni wale tu wanaoipinga na kuikosoa serikali hii ya Magufuli? (Sababu hawa ndio watamkwamisha katika jitihada zake zakubakia madarakani milele).
Kwa akili zakipuuzi bado kuna mtu ataendelea kutowajua watu wasiojulikana na kuwaita ni watu wasiojulikana.
Tumezoeshwa ujinga na ujinga ndiyo jadi yetu.
#Lissu atapona kwa uweza wa Mungu na KATIBA kamwe haitobadilika @Mzinza_muuwaji_unayejulikana
Pia soma Uelewa wangu juu ya kundi la watu wasiojulikana
Mkenya aliyetekwa na watu wasiojulikana Tanzania ni nani?
Wiki moja imetimu toka mfanyabiashara raia wa Kenya na mshirika wa Zitto Kabwe kutekwa Tanzania. Leo Jumatatu Julai 1, 2019 inatimia wiki moja toka wanaoitwa watu wasiojulikana kumteka na kutokomea kusipojulikana mfanya biashara raia wa Kenya ambaye amelowea jijini Dar es Salaam. Raphael...
Je watu wasiojulikana wana "connection" na vyombo vya dola?
Kumekuwa na matukio mfululizo ya watu kutekwa, na watu tunaoaminishwa na serikali yetu iliyoko madarakani kuwa watu hao ni watu wasiojulikana, matukio ambayo yameongezeka sana katika utawala huu wa awamu ya tano, matukio ambayo hapo siku za nyuma hayakuwepo. Swali kubwa tunalojiuliza wananchi...