Mshangai
JF-Expert Member
- Feb 16, 2008
- 468
- 1,086
Nimetafakari na kutoa machozi.
Wakati huko Mashariki ya kati vinapiganwa vita ambavyo ukichunguza kwa makini ni sababu ya kupigania ardhi yao kila mmoja akiamini ni urithi wao hivyo wako tayari kupoteza maisha lakini kulinda urithi huo, sisi huku kwetu tuna wafukuza Wamasai kutoka Loliondo na Ngorongoro ili kuwapa Waarabu waishi na kufanya shughuli zao.
Ndipo tunapokuja kujiuliza hivi hawa watawala wetu CCM wao wana akili za namna gani kugawa ardhi yetu ambayo ni urithi wa vizazi vijavyo kwa wageni?
Hivi hawajui kuwa huko ni kukaribisha vita katika nchi yetu wenyewe?
Hata kwa hili nalo hawawezi kujifunza kutoka middle east?
CCM ni wahaini na tunapaswa kuwaadhibu kama wahaini.
Wakati huko Mashariki ya kati vinapiganwa vita ambavyo ukichunguza kwa makini ni sababu ya kupigania ardhi yao kila mmoja akiamini ni urithi wao hivyo wako tayari kupoteza maisha lakini kulinda urithi huo, sisi huku kwetu tuna wafukuza Wamasai kutoka Loliondo na Ngorongoro ili kuwapa Waarabu waishi na kufanya shughuli zao.
Ndipo tunapokuja kujiuliza hivi hawa watawala wetu CCM wao wana akili za namna gani kugawa ardhi yetu ambayo ni urithi wa vizazi vijavyo kwa wageni?
Hivi hawajui kuwa huko ni kukaribisha vita katika nchi yetu wenyewe?
Hata kwa hili nalo hawawezi kujifunza kutoka middle east?
CCM ni wahaini na tunapaswa kuwaadhibu kama wahaini.