Watu wanaodhaniwa kuwa ni Polisi, wazingira nyumba ya askofu Gwajima

Ewe mungu mbariki wakili Peter Kibatala pamoja na cdm famili popote pale walipo
 
Huku Gwajima, kule Bashite, hapa Mama Salama Kikwete. Lazima tusahau mambo yote muhimu, mtaani siku hizi wanakula chapati asubuhi, mchana na jioni kisa mahindi yamepanda. Nchi hovyo kabisa.
 
Cheti kile cha Daudi Bashite alichojipatia Zeroooo je anacho home?? Kuharibu evidence ili tukupeleke mahakamani ni muhimu.
Hakika kama hujailipia ile treni uloagiza, utakiona kilichomfanya kuku asikojoe. Hii ni Bongo yetu ya mwendo kasi
Inawezekana ulikuwa ni mpango wa Bashite kwenda kuchomoa hivyo vyeti
 
Najitahidi kuipenda serikali yangu ila nayo inajitahidi kunichukiza!!

Mheshimiwa rais, tenda haki bhana. Mbona tunao vijana wasomi wengi. Achana na Bashite
 
Inawezekana ulikuwa ni mpango wa Bashite kwenda kuchomoa hivyo vyeti

Mkuu;
Huo ndo mpango mkakati wa Daudi. Akiisha kukiharibu, aweze kumpeleka mahakamani amfidie hela yoote ya treni. Wadhani sote tunamkenulia meno Gwaji??
 
Mikwara Ya Bashite...

leo Wamemteuwa Mama Salma ili kupoteza Hoja ya Bashite...

sasa na ile kasi ya kuakiki Vyeti na Ife kifo cha Mende
Plan A inapoonyesha kushindwa plan B inatumika
 
Namuonea huruma bashite maana amempa wakati mgumu mkuu wakaya lafiki yake kipeeeenziiiii.
 
Nilipoisikia clip ya Gwajima anasema Vyeti vya Bashite anavyo nikajua muda wowote Polisi watamfanyia ambush. Bado Ofisini kwake lazima wataenda tu.
 
Najaribu kuona mbele..Naona kuna mtu kabla ya 2020 Atakuwa yupo Ndani kwa mashataka Ya Kubabikiwa..Serikali zetu za Afrika uwa azipo Fair kwa watu TYPE ya Gwajima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…