Kuiyona scania namba d sio tatizo huwenda ndio limenunuliwa muda huu ,changamoto ni hiyo gari hapo juu kwa maaana wakati usajili namba A unamalizika hiyo gari ilikuwa haijatengenezwa au tuseme bongo hazikuwepo swali ameipata wapi , namm nilishakutana nalo hilo gari sinzaa jamaa akaniambia umeona hiyo hapo kuna namna