Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,404
- 36,543
Ni heri wenzake kina mpoki, joti na wengine wanaendelea na mishe zao za kutafuta ugali kihalali, sio huyu anayetafuta pesa za haraka kwa utapeliHuyu jamaa hata aibu Hana yaani kaamua kufanya biashara ya jina MUNGU laana itamfuta aseee..
Na si muda mrefu mkuuMuda si mrefu atajiita nabii.
Hivi watu kabisa wanafurika kwenye kanisa lake?
Hahaha huyu mtu lazima atakua anatokea humu humu
Dini ndo biashara inayolipa saizuyu ndo mjanja sasa , endelea kuwapiga ao
Uyu fala anadhalilisha sana kanisa kuna wachungaji wahuni wenzake wanamwalika Usa kwenda kumjaza ujinga eti injili ya kisasa wanakera sanaHuyu jamaa hata aibu Hana yaani kaamua kufanya biashara ya jina MUNGU laana itamfuta aseee..
Mkuu matatizo ndio yanawapelekA watu kule ogopa sana ukumbwe na matatizo afu huna kibundaMuda si mrefu atajiita nabii.
Hivi watu kabisa wanafurika kwenye kanisa lake?
Hakuna kusumbuana na traDini ndo biashara inayolipa saiz
Yeah Kweli kabisa mkuuHakuna kusumbuana na tra
Mkuu DINI na UGANGA wa KIENYEJI Ni BIASHARA ZIISIZO NA MTAJIDini ndo biashara inayolipa saiz
yeah,si uliona Dr mwaka alivyovuna pesa...na hawa tiba mbadala wanauza very expensive dawa zao kuliko hospital sometime,Kuna dada yalimkuta huko hana hamu na hao tiba mbadalaMkuu DINI na UGANGA wa KIENYEJI Ni BIASHARA ZIISIZO NA MTAJI
Amewahi kukutapeli au unamuonea wivu tu ?Ni heri wenzake kina mpoki, joti na wengine wanaendelea na mishe zao za kutafuta ugali kihalali, sio huyu anayetafuta pesa za haraka kwa utapeli