hapana mkuu, iyo ilikua video call. kwenye meetings za hivyo lzm kiongozi awe na watu baadhi wa ku take notes. ndo ndo maana hao wapo nyuma ya camera
Acha kutafsiri vitu ambavyo sio sahihi.Kama watu wameweza kukaa meza moja na rais wakitaka kumdhuru hawawezi shindwa kwasababu ya urefu wa meza.Ndo maana unaona hata hao askari wana silaha.kwahiyo unataka kusema risasi haifiki umbali wa hiyo meza.Hao siyo watu wa camera, ni watu wake wa karibu kabisa!
Hapo ni Macron alipomtembelea Putin, naye alipewa 6 meter table kama hiyo, huyo jamaa Putin katokea KGB hivyo anajua kwamba anawindwa kosa moja tu basi kwisha.
View attachment 2140849