watu na historia zetu!

Siku hizi hiyo haipo, ukimtekenya tu anajifanya ameangukia kifuani kwako na aissssssssss nyingiiiii.
 
mmm siku hizi hata wanaume hawajui kutongoza wanaishia tu kumaliza hela zao, yaan wanafanya vitendo tu sound hawana na watoto wa kike wantongozeka kirahis sana asubuhi jion tayari kakubali na kashamvulia mh , na wanaume pia hawajui kusoma alama za nyakati, bint hapo ameshakunja mguu na anauma kidole sasa anasubiri nini? ombi lake tayari limekubaliwa
 
Ameline nitake radhi bhana.

Mimi Simba wajameni swala aliyekufa mwenyewe sikuli.
 
Amekunja mguu kuzuia michirizi isishuke chini huko juu mafuriko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…