Watu mko wapi?

Watu mko wapi?

Keep waiting mkuu..ni moja ya thrilling series tamu sana from tz,subir bado sku chache.
Itachkua nafasi ya huba kwa rating
Hivi huba huwa unaielewaga?
Kiukweli siielewi kabisaa.......
Mwanzoni nilipata hisia ni series kama ya isidingo......na ukweli walikopa baadhi ya vitu lkn nikaichukia siku nawona kibibi eti kamteka mtu kqwnye boti eti anaenda kufunga naye ndoa kwa lazima. Nikasema sijui waliokota wapi iko kipande.
Juzi ndo kabisaa wanafanya sherehe wamevaa mask hatukuona madhumuni ya ile sherehe na iliishaje yaan ujinga ujinga tu. Kwakweli uokiangalia Tessa na maid wake hawaonekani kufit kwenye nafasi za mtu na bosi wake. Ni Nani anayewatengenezea hivi vipande?
 
Hivi huba huwa unaielewaga?
Kiukweli siielewi kabisaa.......
Mwanzoni nilipata hisia ni series kama ya isidingo......na ukweli walikopa baadhi ya vitu lkn nikaichukia siku nawona kibibi eti kamteka mtu kqwnye boti eti anaenda kufunga naye ndoa kwa lazima. Nikasema sijui waliokota wapi iko kipande.
Juzi ndo kabisaa wanafanya sherehe wamevaa mask hatukuona madhumuni ya ile sherehe na iliishaje yaan ujinga ujinga tu. Kwakweli uokiangalia Tessa na maid wake hawaonekani kufit kwenye nafasi za mtu na bosi wake. Ni Nani anayewatengenezea hivi vipande?
..
Dah umegusa vtuko hasa vya kwnye huba.
Sijaiangalia mda sana kwa sasa ila mwanzo ilkua inanivutia kupoteza muda,mbele naona wakawa wanaforce story kmtndo ikawa ktuko,director wa huba namkubali sana possibke atarekebsha makosa,tesa alifit sana ile b4 huba jina lmentoka alkua sio na kna ben blanco,hku unarekan mwingi wanazdsha Sometimes,ila scene za boss na wafanyakazi karbu zte wanabugi,possible wengi wao mule hawajawahi kuajiriwa au kupiga kaz kwny maofis in real life,tuwasamehe ..the future in bright kwny hii tasnia now,ila multichoice wakisepa tu nahisi ndo watasepa na sanaa yetu
 
..
Dah umegusa vtuko hasa vya kwnye huba.
Sijaiangalia mda sana kwa sasa ila mwanzo ilkua inanivutia kupoteza muda,mbele naona wakawa wanaforce story kmtndo ikawa ktuko,director wa huba namkubali sana possibke atarekebsha makosa,tesa alifit sana ile b4 huba jina lmentoka alkua sio na kna ben blanco,hku unarekan mwingi wanazdsha Sometimes,ila scene za boss na wafanyakazi karbu zte wanabugi,possible wengi wao mule hawajawahi kuajiriwa au kupiga kaz kwny maofis in real life,tuwasamehe ..the future in bright kwny hii tasnia now,ila multichoice wakisepa tu nahisi ndo watasepa na sanaa yetu
Mmm....Kama swala la biashara, ndio.kabisaaa wamebugi. Nafikir kwasasa mtunzi inabidi akae chini ajifikirie zaid. Ukitizama ni Kama vile.ame copy na kupesti baadhi ya matikio toka isidingo
 
Nenda maisha magic east ufaidi tamthilia..achana na upuuzi wa huba..ile ni taka taka kama taka taka zengine.
Hivi huba huwa unaielewaga?
Kiukweli siielewi kabisaa.......
Mwanzoni nilipata hisia ni series kama ya isidingo......na ukweli walikopa baadhi ya vitu lkn nikaichukia siku nawona kibibi eti kamteka mtu kqwnye boti eti anaenda kufunga naye ndoa kwa lazima. Nikasema sijui waliokota wapi iko kipande.
Juzi ndo kabisaa wanafanya sherehe wamevaa mask hatukuona madhumuni ya ile sherehe na iliishaje yaan ujinga ujinga tu. Kwakweli uokiangalia Tessa na maid wake hawaonekani kufit kwenye nafasi za mtu na bosi wake. Ni Nani anayewatengenezea hivi vipande?
 
Nenda maisha magic east ufaidi tamthilia..achana na upuuzi wa huba..ile ni taka taka kama taka taka zengine.
Inaitwaje? Mm siku hiz natizama zeeworld na penyewe natizama zaid kindred heart, mehek na the heir
 
Back
Top Bottom