Lipo pia Channel Ten, lilianza na mtoto wa kike sasa ni mtu mzima.wadau,, kuna tangazo nalionaga TBC linasema
"WATU MKO WAPI?
03-09-2019"
wadau naomba mnieleweshe ilo tangazo lina maanisha nini na iyo tarehe kutakua na nin???
Mkuu, siyo Bongo Movie hao?Dstv hao
Nadhani kuna kitu watakifanya hiyo..Channels mpya labda zenye local content
Kama ni DStv basi ni lile Punguzo la Bei.Dstv hao
Nadhani kuna kitu watakifanya hiyo..Channels mpya labda zenye local content
Lipo pia Channel Ten, lilianza na mtoto wa kike sasa ni mtu mzima.





Keep waiting mkuu..ni moja ya thrilling series tamu sana from tz,subir bado sku chache.wadau,, kuna tangazo nalionaga TBC linasema
"WATU MKO WAPI?
03-09-2019"
wadau naomba mnieleweshe ilo tangazo lina maanisha nini na iyo tarehe kutakua na nin???