Tysher
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 207
- 78
Habari wanaJf!
Mwenzenu nashangazwa na hizi team zilizoanzishwa kwenye mitandao ya kijamii. Wanaounda hizi team ni watu maarufu wenyewe au mashabiki? Nyingine full matusi,nyingine wanasifia tuu hata ujinga wanasifia na kujipendekeza,nyingine wana kazi ya kutukana watu maarufu....basi tafrani.
Mwenzenu nashangazwa na hizi team zilizoanzishwa kwenye mitandao ya kijamii. Wanaounda hizi team ni watu maarufu wenyewe au mashabiki? Nyingine full matusi,nyingine wanasifia tuu hata ujinga wanasifia na kujipendekeza,nyingine wana kazi ya kutukana watu maarufu....basi tafrani.