Watu wengi wanaoishi mikoa ambayo gari moshi (maarufu kama treni) linapita hasa mikoa ya reli ya kati kuelekea kigoma hutuboa saaana.... mara linapokuja utawasikia wakisema abiria hiyo inakuja... Je treni hiyo ikikosa abiria wataiitaje? Jaman tuelewe kuwa abiria ni wasafiri.