Watu kama huyu wafaa serikali iwaangalie iwaajiri polisi au jeshi

Kwa lipi apo kubwa? Mbona ni mambo madogo tu hayo? Vijana wavuta bangi tele huku wanafanya, huyo chau chau ni miongoni mwao
 
Acha ushamba brother... hii ni just drifting... hata south michezo kama hii ipo....
 
Mimi nwashangaa hao waliomzunguka hawaoni hatari kubwa iliopo mbele yao pale Jamaa atakaposhindwa idhibiti gari
Waliozunguka hapo, huyo driver na huyo jamaa anayetangaza, brain zao ziko kwenye level inayokaribiana sana. Akitokea mwenye level ya juu tofauti na wao, wataona kama wanaonewa kwa sababu uwezo wao wa kufikiri umegota. They can't think beyond if there is something like accident which may come their way and turn this funny game into sorrow.
 
Back
Top Bottom