tazama KDF walivyo jazana eneo moja.hata mimi amabye sikupitia mafunzo ya kujihami ya kijeshi, naona jamaa hawakuwa makini.hii ilikuwa ni wakati ule wa tukio la uvamizi,westgate mall.![]()
Walikua very organized and coordinated. Wala hawakupeleka vifaru wala APC. Na walipoingia ndani wala hawakula chokoleti zilizokuwepo.
wakenya wako njema jamani... ndio maana wapo somalia... watanzania somalia tunaogopa
Unawakumbusha Wakenya kilio na aibu kubwa iliyowapata? Majeshi yao yote, wameshindwa na watu wanne, na wakaondoka hawajaonekana mpaka leo.
Wakenya hata elites wao, wawekee chocolate tu, kwisha kazi. Wasomali, wamewapatia kweli.
Majanga.
Wale ni Wasomali, hawana mchezo.
FaizaFoxy Cha msingi ifahamike huyu hapa alikua ni sheikh ambaye hakuwa na ujuzi wowote wa vita. Na iliwachukua makomando wa Australia siku nzima na hatimaye palikufa watu. Yeye aliteka tu, ila wale wa westgate wenye ujuzi wa vita waliingia na kuanza kuua yeyote ambaye hakujua mambo ya msingi ya hiyo dini yenu iliyojaa uchafu, maovu, damu na chuki.
Hapakua na muda wa ku-plan maana hawakua wanaagiza bendera ya allah kama huyu, yao ilikua ni kumpa mungu wenu damu.
Mliipatapata, mtu nne tu.
shida ni ile ile wanakimbia Somalia , iran, Libya , hawaendi saudia kwenye ardhi ya "mtume" wanakimbilia Australia, Sweden , America , italia , Kenya etc. halafu wakifanya fujo kwa fadhila za wakristo, washabiki wao wanafanya ulinganisho. jamani watu hao wapelekwe Kuwait, Dubai, sudia etc, 'kwenye neema" ya mtumeUnawakumbusha Wakenya kilio na aibu kubwa iliyowapata? Majeshi yao yote, wameshindwa na watu wanne, na wakaondoka hawajaonekana mpaka leo.
Wakenya hata elites wao, wawekee chocolate tu, kwisha kazi. Wasomali, wamewapatia kweli.
Majanga.
next time hawa "masheikh" wasiende nchi za wakristo, waende Saudi Arabia, mbona hamuulizii? mmesikia wapi mkristo akakimbia nchi yake kwenda misri, au saudia, Iraq etc. The theme na mawazo ya watu yanayotembea marekani ninakotoka juzi , ni kama unataka kuimigrate marekani, lazima uende na values ya nchi unayokimbilia, plus dini, usiende Australia, halafu unataka kuimpose your devilish ideology na beliefs, muda umefika kwa kuaanza kutenganishwa kwa mawazo (wao na sisi) na kama hawataki basi waende saudia, Indonesia, Iraq na ardhi zote za "mtume", unfortunately unafiki una take over na wote wanakimbilia western countries or better Christian valued countries bila kunyoa ndevu zaoMliipatapata, mtu nne tu.
teh teh teh..
thubutu Australian troops practised exact cafe scenario less than 5 weeks ago.!!
.....yaani you literally
compared KDF with Australian's commanders?!, kweli akutukanae
hakuchagulii tusi .....lol!
wakenya wako njema jamani... ndio maana wapo somalia... watanzania somalia tunaogopa
niko karibu na eneo la tukio mkuu, task forces walikua wakifanya mazoezi ya mission ktk military base ya victoria barracks ambayo ndio headquarters of forces command. Wakazi wanaozunguka military base hii hatujashangaa kuona yanayotokea Lindt cafe. Kijiografia na kiulinzi ni ngumu lindt cafe kuvamiwa kwani the cafe is right at the base of the reserve bank of Australia but global media hawajagusia hii kitu. Tony Abbott hoax to pass terror laws to make you believe that there's terrorism in UAS and the length they go to fool AUS citizens.
Tizama huu uongo wao..!!
![]()