KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 36,516
- 89,013
tulia kijanaAhahah ulipigwa na nyundo?
tulia kijanaAhahah ulipigwa na nyundo?
Inaelekea uliumia sana mpaka umesema 😂tulia kijana
Haya mambo ndo huwa yanatukomazaInaelekea uliumia sana mpaka umesema 😂
Ukweli mtupu hamna mapenzi yaliyo balance au tuseme yako level..lazima mzani uegemee upande mmojaHaujawahi kushikwa na nyege wewe..... kwenye mapenzi ni aidha ule au uliwe kama wote mnapendana sawa kuna tatizo Mahali....
Lazima pawepo na mmoja ambaye hamake-sense...na huyu ndiye huyashikilia mahusiano yasianguke.
Kwaiyo wote hawatakiwi au vp👍Mwanamke ambae anakazi ya kuhongo mwanaume akijua kabisa hapendwi na hajawai kula ata mia ya mwanaume huyo kiufupi mwanaume kashamuonesha kuwa hamtaki ila yeye ndio kamganda na kumuonga juu
Huyu mimi namuona mwanamke ambeye hajiamini na muoga wamaisha
mwanaume ambaye anahonga mwanamke uku akijua kabisa kuwa hapendwi na mwanamke kashamfanyia vitimbwi vya kuhudhu lakini bado kamganda ataki kumuachia kiasi kwamba mwanaume ana sahau familia yake au majukumu yake kisa mwanamke
Huyu mimi namuona ni mwanaume mgeni katika mapenzi bado ajakomaa
Kweli nasikia ukiumwa na nyoka kesho unatembea kwa kunyatanyata 😂Haya mambo ndo huwa yanatukomaza
Yangu yame balanceUkweli mtupu hamna mapenzi yaliyo balance au tuseme yako level..lazima mzani uegemee upande mmoja
Ndio paroko 😂Kwaiyo wote hawatakiwi au vp👍
Ahaha wanandoa mnapigika sanaKwa Sasa Kuna kamstari kembamba kanakotenganisha ukahaba na ndoa!kembamba sana!unakuta hasta kwenye ndoa watu tunanunua Kwa madela,kikoba,mtaji was biashara n.k!
Ndo maana Nimesema umeeleza mtu mmoja Ila Kwa Jinsia Tofauti wote Hao Ni wapuuzi tuKuna kitu ujaelewa hapo?
Pamoja bossNdo maana Nimesema umeeleza mtu mmoja Ila Kwa Jinsia Tofauti wote Hao Ni wapuuzi tu
Never ever speak about emotions on behalf of someoneYangu yame balance
Ahahah si dalili zinaoneshaNever ever speak about emotions on behalf of someone
Brooo wanawake ni wasanii sana usiwaamini hawa kenge. Wanakuzalia na kuishi na wewe miaka 20 full maigizo alafu baadae unasikia i no loger love u. Kuwa makini bro.Ahahah si dalili zinaonesha
Au sio 😂 na english juuBrooo wanawake ni wasanii sana usiwaamini hawa kenge. Wanakuzalia na kuishi na wewe miaka 20 full maigizo alafu baadae unasikia i no loger love u. Kuwa makini bro.
Wee unamuamini vipi kenge anayesema mwanaume ni kuhudumia lakini mabilionea wanaachwa. Think twice
Komaa hukoNdio 😂
Au sio mpareKomaa huko
Ndio mnyaturuAu sio mpare
Jichagulie tusiNdio mnyaturu