Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,676
- 5,026
Kila mtu kila mahali dunia ya leo anajaribu kukuuzia kitu ilhali pesa ni kiduchu, na kuipata ni taabu kubwa.
Ukiwa na tamaa na materialistic siku zote utaishia kuwa lofa, hata kama ni hodari namna gani wa kutengeneza pesa.
Huo ndiyo ukweli mtupu.
Ukiwa na tamaa na materialistic siku zote utaishia kuwa lofa, hata kama ni hodari namna gani wa kutengeneza pesa.
Huo ndiyo ukweli mtupu.