Tunaomba uweke link ya medianimesoma sasa hivi kwenye foreign media kwamba watu 700 wameuliwa so far, inawezekana kuwa kweli? this is crazy, hii haijawahi kutokea, kwa nini lakini? nani yuko responsible? kwa nini hakuna anayesema chochote upande wa serikali? …
Wamekufa watu wengi sana. Wengine wameuawa na kikundi cha askari wa Uganda ambao hawajui hata kiswahili. Wameua mpaka watu waliokuwa majumbaninimesoma sasa hivi kwenye foreign media kwamba watu 700 wameuliwa so far, inawezekana kuwa kweli? this is crazy, hii haijawahi kutokea, kwa nini lakini? nani yuko responsible? kwa nini hakuna anayesema chochote upande wa serikali? …
View: https://x.com/advocatemahere/status/1984250896700805327?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1984250896700805327%7Ctwgr%5E9aa2f6144b078f2733383da4f3c999b5a55cb772%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.krone.at%2F3944658
Wenye uwezo mtunze ushahidi, picha au video mzitunze, zitasaidia sana muda ukifika na haki kupatikanaWamekufa watu wengi sana. Wengine wameuawa na kikundi cha askari wa Uganda ambao hawajui hata kiswahili. Wameua mpaka watu waliokuwa majumbani
Muhusika namba moja ni Samia na genge lake. Unawauwa wananchi wako kisa madaraka? Tena unatumia jeshi la kukodi?***** police wote na vituo ambavyo watu wamekufa wanahusika, wasijidanganye hawatajulikana na wote sheria itawafikia either ya mtaani au Tanzania mpya inayokuja , watashughulikiwa tuu na wakumbuke kusema nilikuwa nafuata amri haitawaponya
Mimi nimesikiliza kwenye TV moja live; link playback yake imeshatolewaTunaomba uweke link ya media
Hawa tunawaweza wenyewe, ushahidi upo na wahusika wanajulikana, kila mtu aone ili wajao wajue kuna bad consequence ya mambo ya kipumbavu kama aliyofanya Samia na genge lakeTuanzishe uzi tupate majina ya kwenda the Hague tafadhali
nimesoma sasa hivi kwenye foreign media kwamba watu 700 wameuliwa so far, inawezekana kuwa kweli? this is crazy, hii haijawahi kutokea, kwa nini lakini? nani yuko responsible? kwa nini hakuna anayesema chochote upande wa serikali? …
View: https://x.com/advocatemahere/status/1984250896700805327?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1984250896700805327%7Ctwgr%5E9aa2f6144b078f2733383da4f3c999b5a55cb772%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.krone.at%2F3944658
Sasa huyu abaki madarakani kufanya kitu gani tena baada ya haya yote?Mimi nimesikiliza kwenye TV moja live; link playback yake imeshatolewa
View: https://www.youtube.com/watch?v=DXiloJoBWZ4
"Hali irudi kuwa kawaida"? Hata sijui una maana gani hapa. Kamwe hali haiwezi kurudi kawaida wakati Samia na Genge lake wakiendelea kuwa madarakani.JAMANI HEBU TUCHEKECHENI AKILI, WATU 700 NI WENGI AANA TENA SANA, TUMEKUQA GAZA?
INGEKUWA WATU 700 KWELI, BASI MAANDAMANO YANGEAHAKWISHA SIKU NYINGI SANA.
HESABU AMABYO AKILI INAWEZA KUFIKIRISHA NI WATU WASOZIDI 20, KWA SABABU JESHI LIPO NA WANANCHI.
JESHI LINGEKUWA UPANDE WA POLİSİ HAPO TUNGESEMA KWELI NA MAITI PIA ZINGEZAGAA SANA.
HABARI ZIKICHANGANYIKA ZA KWELI NA UONGO NDIO MAMBO YANAPOVURUGIKA.
KILICHOBAKI TUOMBE HALI IRUDI KAMA KAWAIDA MATAKWA YA WANANCHI YAZINGATIWE.
KUHARIBIBU MIUNDO MBINU NI TUNAJIKOMOA WENYEWE. NA MAISHA TUNAYAFANYA MAGUMU ZAIDI .
KAMA MOTO KUTIWA LAZIMA NI KWENYE VITUO VYA IUHESABIA KURA TUU MAANA NDIO MPANGO WOTE, KWENGINE AAA HAPANA
wamenukuu taarifa ya chadema penginenimesoma sasa hivi kwenye foreign media kwamba watu 700 wameuliwa so far, inawezekana kuwa kweli? this is crazy, hii haijawahi kutokea, kwa nini lakini? nani yuko responsible? kwa nini hakuna anayesema chochote upande wa serikali? …
View: https://x.com/advocatemahere/status/1984250896700805327?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1984250896700805327%7Ctwgr%5E9aa2f6144b078f2733383da4f3c999b5a55cb772%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.krone.at%2F3944658