Watu wapatao 20 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa vibaya sana baada ya basi la Nyehunge (au Luhuye) kutoka Musoma kwenda mwanza kuacha njia na kugonga nyumba kisha kupinduka katika kijiji cha itimila/Itumila A wilayani Busega mkoani simiyu
Barabara yote kuanzia sirari hadi mwanza hakuna tochi ya polisi. Magari, hasa mabasi yanaendeshwa kwa fujo sana. Kamanda mpinga aweke tochi pengine madereva wataogopa.
Habari tulizopata ni kwamba kuna ajali ya basi la Luhuye liendalo Sirari na Mwanza limepata ajali leo. Taktiban watu ishirini wamefariki papo hapo. Ajali hiyo imetokea maeneo ya Mwamanyiri. Taarifa zaidi Na picha zitawajia nitalapofika eneo la tukio.
Barabara yote kuanzia sirari hadi mwanza hakuna tochi ya polisi. Magari, hasa mabasi yanaendeshwa kwa fujo sana. Kamanda mpinga aweke tochi pengine madereva wataogopa.
Hiyo road inawenyewe!! Kwan mpinga hajui kama hakuna tochi?? Zacharia ni rafiki mkubwa wa Gachuma, Gachuma ni swahiba wa mkulu,na Gachuma ni mmoja kati ya madon wa kanda ya ziwa