HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,399
- 6,077
Waku habari za usiku Niko naugulia Dengue hivyo leo sijatoka hapa ninapo kaa kuna mpangaji anamtoto weke wa kiume umri miaka 5 au 6 chekechea pia na mtoto wa nyumba ya jirani umri miaka 8 kavulana pia sasa wamekutwa kwenye pagala huyu wa miaka na 8 amemvua huyu wa miaka 5 nguo alafu anamchomeka vidole matakoni na kenyewe kanajishika makende isee tumeshangaa sana japo wamechapwa ila ndio hivyo tena kwa kweli wazazi tujjitahidi kuwa angalia watoto wetu wanacheza na nani na wapi