General Stalin
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 652
- 501
hapo balaa ndo atajua faida za kugharamikia vinginevyo atapata mjukuu wa kumwita babu kabla ya wakatimshauri uyo wa kike atafute kidume kizito kama wewe ili garama kwako zipungue, hahaha au sio!
Hahaaa umenikumbusha mbali.....
Ingawa nilikulia mwanza mjini lakini nyumbani kulikuwa na eneo la wastani la ziada hivyo, mama alikuwa akitengeneza chochote kizuri lakini huli hadi ulime matuta ya bustani .tulikuwa tunaona kama game fulani zuri hivi lakini nilipokua ndipo nilikuja kuelewa ni nini walikuwa wakimaanisha....
Malezi ya kiafrika yalikuwa mazuri
Bro jaribu kuwajenga watoto wako waweze kudhibit tamaa zao, sio kila wanachotaka lazima wapate..wape tu vitu vyenye umuhimu...Nakasirishwa sana na hawa watoto, wa kwanza yupo form five, wa pili form two na watatu standard seven english medium. Yaani najitahidi sana kuwalipia ada na kweli naweza na nafrahi sababu ni vipanga kila nikangalia matokeo nafurahi sana.
Huyu wa form 5 ni dada ndie anaeongoza chati yani kila siku sababu zisizoisha wa pili ni dume yeye hanaga mambo mengi anataka pesa za kucheza games na mziki mkali akirudi, haka kadogo kakiume kanapenda hela za kula chipsi na mandazi, ni kweli walimu wameniambia kanajimwaga kweli.
Plz najitahidi wanangu wana malezi mema hawajawahi nikera ila wananipiga mzinga sana inafikia mahali nataman niwaambie live sipendi hio tabia ila nafsi inakuwa ngumu plz nipeni ushauri.
Kuna wakati JF inaumiza vichwa!Nakasirishwa sana na hawa watoto,......
................. wanangu wana malezi mema hawajawahi nikera
Nakasirishwa sana na hawa watoto, wa kwanza yupo form five, wa pili form two na watatu standard seven english medium. Yaani najitahidi sana kuwalipia ada na kweli naweza na nafrahi sababu ni vipanga kila nikangalia matokeo nafurahi sana.
Huyu wa form 5 ni dada ndie anaeongoza chati yani kila siku sababu zisizoisha wa pili ni dume yeye hanaga mambo mengi anataka pesa za kucheza games na mziki mkali akirudi, haka kadogo kakiume kanapenda hela za kula chipsi na mandazi, ni kweli walimu wameniambia kanajimwaga kweli.
Plz najitahidi wanangu wana malezi mema hawajawahi nikera ila wananipiga mzinga sana inafikia mahali nataman niwaambie live sipendi hio tabia ila nafsi inakuwa ngumu plz nipeni ushauri.
Hao wa kiume soon utawaona Take One ya Cloud TV na seneta wao Kaoge.Nakasirishwa sana na hawa watoto, wa kwanza yupo form five, wa pili form two na watatu standard seven english medium. Yaani najitahidi sana kuwalipia ada na kweli naweza na nafrahi sababu ni vipanga kila nikangalia matokeo nafurahi sana.
Huyu wa form 5 ni dada ndie anaeongoza chati yani kila siku sababu zisizoisha wa pili ni dume yeye hanaga mambo mengi anataka pesa za kucheza games na mziki mkali akirudi, haka kadogo kakiume kanapenda hela za kula chipsi na mandazi, ni kweli walimu wameniambia kanajimwaga kweli.
Plz najitahidi wanangu wana malezi mema hawajawahi nikera ila wananipiga mzinga sana inafikia mahali nataman niwaambie live sipendi hio tabia ila nafsi inakuwa ngumu plz nipeni ushauri.
Wafundishe kujitegemea na kusave pesa.Sasa unataka wampige nani mizinga?
Sijui wengine lakini mimi ikija kwa Kisura huwa nafanya kufuru.
Chochote atakacho anapata tu.
Ndo wajibu wangu huo na kamwe siwezi kulalamika.
Na furaha yake ndo faraja yangu.
Inaoneka unauzoefu na hii ki2,ushauri mzuriTena watoto wa umri wakianza kujua pesa kama miaka 8 au wengine 10 unaanza hata kuwa fungulia akaunti benki wanajua pocket money inabidi iende huko...kufunza..mzazi mwenyewe utafufahia ukiona inajaa...pesa ndogo baada ya miaka inakuwa tamu na watoto unawafundisha kujua kana kusevu na kutumiaje...esp kama wanataka kitu kikubwa unasema si una pesa haya hiyo atoe kiasi fulani ajinunulie... kuna hiki na kile
Mengine ni kufanya ya kusubiri siku ya kuzaliwa hata kama miezi 11 bado atasubiri tu, huku mtu ukikazania masomo wasomeeeeeee.... Na sikukuu kama krismasi santa awaletee majonjo wanayomuomba...inafundiaha subira...
Ila ya pesa hakuna kuna ya hiki na hiki ya hicho hakuna...wakilia weee watanyamaza, watanuna ila faida mbeleni kubwa na nzuri maishani mwao...ni kwendana na kufunza mengi...
Wafundishe kujitegemea na kusave pesa.
Kama wanafundishwa zaidi ya hayo, katika hayo ya zaidi, kuwa mambo ya dini? Je wanafanya ibada kanisani au msikitini?Namfundisha zaidi ya hayo!
Life skills siyo kujitegemea na kusevu pesa tu.
Kama wanafundishwa zaidi ya hayo, katika hayo ya zaidi, kuwa mambo ya dini? Je wanafanya ibada kanisani au msikitini?