ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
- Thread starter
- #21
awanunulie vitu vingi vya kuchezea, inawezekana hao watoto hawana vitu vya kuchezea kama madoli etc. Lakini hiyo ni kawaida sana. Na anawaharibu zaidi anavyojifanya eti kuchelewa home ili akute wamelala, he is creating a gap ambayo atakuja kujilaumu baadaye. anachopaswa kufanya awahi home kucheza nao, wataacha tu.
Hata hivyo duuuuu watoto wanazidiana mwaka?...yaani mama kajifungua baada ya mwezi jamaa akatia mimba???!!!!
Masihara hayo, utingo, yasije yakakukuta yaliyonikuta, mweee!