Watoto wadogo wanapata wapi U.T.I?

Osako

Member
Oct 31, 2017
69
70
Wadau, naomba mwenye huelewa kuhusu ugonjwa huu wa u.t.i, hasa kwa watoto wadogo ambao hawatumii wala kuchangia choo na watu wazima.
 
Wadau, naomba mwenye huelewa kuhusu ugonjwa huu wa u.t.i, hasa kwa watoto wadogo ambao hawatumii wala kuchangia choo na watu wazima.
Usimuache mtoto akiwa na nguo ambayo amejikojolea muda mrefu, au kama ukiwa na kawaida ya kumuogesha kwenye beseni usimuache akiwa amekaa kwenye maji muda mrefu kwani anaweza kujikojolea me na ule ule mkojo wao ndio waweza kuwa tatizo, au maji pia yanaweza kuwa na vimelea. Mtoto akijisaidia kwenye pot, lisafishe vizuri.
Kumbuka UTI ni urinary tract infections
 
Urinary Track Infection kwa watoto wadogo inaweza letwa kupitia diapers wanazotumia, ama jinsi ya wanavyosafishwa pindi wakijisaidia.
 
Urinary Track Infection kwa watoto wadogo inaweza letwa kupitia diapers wanazotumia, ama jinsi ya wanavyosafishwa pindi wakijisaidia.
Kwa hiyo kwa kifupi,vijidudu vya U.T.I vinakaa kwenye kinyesi
 
Kwa hiyo kwa kifupi,vijidudu vya U.T.I vinakaa kwenye kinyesi
Wadudu hawa ni aina ya normal frola ambao huishi katika kinyesi cha binadamu, hawana madhara kwa upande wa tumbo, so endapo mtoto/mtu mzima ata hamisha wadudu kwenda sehemu nyingine kwa mfano rahisi mtoto wa kike hupata kwa haraka sana kutokana na maumbile yao.
 
Wadudu hawa ni aina ya normal frola ambao huishi katika kinyesi cha binadamu, hawana madhara kwa upande wa tumbo, so endapo mtoto/mtu mzima ata hamisha wadudu kwenda sehemu nyingine kwa mfano rahisi mtoto wa kike hupata kwa haraka sana kutokana na maumbile yao.
Asante mdau
 
Wadudu hawa ni aina ya normal frola ambao huishi katika kinyesi cha binadamu, hawana madhara kwa upande wa tumbo, so endapo mtoto/mtu mzima ata hamisha wadudu kwenda sehemu nyingine kwa mfano rahisi mtoto wa kike hupata kwa haraka sana kutokana na maumbile yao.
Kwa hiyo mkuu wapenda 0713 wana hatri ya kuugua UTI?
 
Makampuni ya madawa yanatengeneza mabilioni ya Dolari kupitia madawa.
Hivyo hufanya kila mbinu kuanzisha magonjwa yasiyo na kichwa wala miguu.
Siku hizi kila ukiugua kidogo tu ukienda Hospitali utaambiwa una UTI.

CHUNGA SANA WAFANYABIASHARA WA KIMAFYA WA KIMATAIFA WAPO KILA KONA.
 
Wadudu hawa ni aina ya normal frola ambao huishi katika kinyesi cha binadamu, hawana madhara kwa upande wa tumbo, so endapo mtoto/mtu mzima ata hamisha wadudu kwenda sehemu nyingine kwa mfano rahisi mtoto wa kike hupata kwa haraka sana kutokana na maumbile yao.
jibu zuri la kuleta ufahamu
 
Kwa hiyo kwa kifupi,vijidudu vya U.T.I vinakaa kwenye kinyesi
Yes very true. Wanaitwa Escherichia coli wakiwa kwenye utumbo hawana shida ila wakihamia kwenye njia ya mkojo hasahasa akijisaidia au asiposafishwa vizuri wanasababisha UTI
 
Kuna baadhi ya walezi mtoto akijisaidia haja kubwa wanamsafisha kwa kumtumbukiza (au kumsimamisha) ndani ya beseni lenye maji kisha kumuosha kwa maji yale yale ya kwenye beseni.
Hii ni hatari ni rahisi mtoto kupata UTI
 
Back
Top Bottom