Msandawe Halisi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 647
- 350
- Thread starter
-
- #21
Alioa Singida ila kwasasa anaishi dar..... kwakuwa umekiri unapajua Kwamtoro tupe utafiti wa watu wa kwamtoro.
Watu wa kwamtoro, maneno mengi, umbea kila kukicha. Tabia yao kuvumisha mambo wasiyo kuwa na uhakika nayo. Mademu, wababaikaji kinoma.
Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao wengine azipo kwa baba wala mama. Katika kudadisi kwa utafiti, nikajulishwa kuwa watoto wa waazaramo awafanani. Chanzo cha matatizo hayo ni ngoma za mila na desturi. Leo Mr Msandawe nipo njiani naelekea arusha. Kama nitalala Tanga nitawajuza maajabu ya Tanga Kesho. Siku njema wana JF
Harusi za Kizaramo
End product
Watu wa kwamtoro, maneno mengi, umbea kila kukicha. Tabia yao kuvumisha mambo wasiyo kuwa na uhakika nayo. Mademu, wababaikaji kinoma.
Watu wa Kwamtoro ni WASANDAWE kwahiyo huo utafiti wako utakuwa ume base kwenye maneno yako mwenyewemaneno mengi, umbea kila kukicha. Tabia yao kuvumisha mambo wasiyo kuwa na uhakika nayo
Mkuu Biology ilikupitia mbali nini?Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao wengine azipo kwa baba wala mama. Katika kudadisi kwa utafiti, nikajulishwa kuwa watoto wa waazaramo awafanani. Chanzo cha matatizo hayo ni ngoma za mila na desturi. Leo Mr Msandawe nipo njiani naelekea arusha. Kama nitalala Tanga nitawajuza maajabu ya Tanga Kesho. Siku njema wana JF
rukwa bado sana, pindi nikitoka kigoma nitakula boda la huko. Nataka nifike kipindi cha radi za mchana ili nizishuudie kwa macho yangu. Pamoja na ule uchawi wenu wa mamba, wa nchi kavu niwaone
Msandawe hio sample ya familia moja haitoshi we kufikia conclusion ya kuweza kusema 'Wazaramu... na sijajua siku hizi ukitaka kwenda Arusha unapitia Tanga.Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao wengine azipo kwa baba wala mama. Katika kudadisi kwa utafiti, nikajulishwa kuwa watoto wa waazaramo awafanani. Chanzo cha matatizo hayo ni ngoma za mila na desturi. Leo Mr Msandawe nipo njiani naelekea arusha. Kama nitalala Tanga nitawajuza maajabu ya Tanga Kesho. Siku njema wana JF
dah.... umemjazaaaa... kajaa mwenyewe, LOLWatu wa Kwamtoro ni WASANDAWE kwahiyo huo utafiti wako utakuwa ume base kwenye maneno yako mwenyewe
Wasalimieni bicha darajani
wasandawe kamalizana nao shossiMkuu ucsahau kupita kwa wasandawe pia!
Rukwa bado sana, pindi nikitoka kigoma nitakula boda la huko. Nataka nifike kipindi cha radi za mchana ili nizishuudie kwa macho yangu. Pamoja na ule uchawi wenu wa mamba, wa nchi kavu niwaone
Nimetoka Masasi Mtwara jana, leo nipo Mkuranga mkoa wa pwani. Kisa cha kushangaza, familia ya wenyeji wangu watoto wao awafanani, wapo 5. Moja mrefu, wawili wafupi, wawili wa Wastani, rangi zao wengine azipo kwa baba wala mama. Katika kudadisi kwa utafiti, nikajulishwa kuwa watoto wa waazaramo awafanani. Chanzo cha matatizo hayo ni ngoma za mila na desturi. Leo Mr Msandawe nipo njiani naelekea arusha. Kama nitalala Tanga nitawajuza maajabu ya Tanga Kesho. Siku njema wana JF
Haya bwana karibu sana, usisahau kunitafuta nikupe taratibu za kufanya utafiti huku!
Rukwa bado sana, pindi nikitoka kigoma nitakula boda la huko. Nataka nifike kipindi cha radi za mchana ili nizishuudie kwa macho yangu. Pamoja na ule uchawi wenu wa mamba, wa nchi kavu niwaone
Tuache hii tabia ya kabila moja kujiona bora kuliko jengine.
Kama Wazaramo wanafanya harusi za ngoma na kuzaa watoto tele, si tuwaachie wenyewe. Why do we have to care?
Wewe picha ulizoweka zilikuwa na lengo gani?
Kimtazamo wako suala la kuwa faithful kwenye ndoa linawahusu Wazaramo tu? Hayo magonjwa wanapata wao tu?
Mtoa mada might have had a good point lakini picha zako zimekwenda out of point. Wanaofanya ngoma harusini ni Wazaramo tu?
Na ngoma harusini ina uhusiano gani na watoto kuwa Wa baba tofauti?
Mbali ya hizo garama, mimi naona ni upuuzi raisi wa nchi kuacha ikulu wazi anakwenda kucheza mdundiko ucku kucha! Kumbe ndo maana alimkata dry mkuu fulani aliye sema ngoma ya CHAGULAGA inachangia maambukizi ya virusi!. Sasa hizo ngoma za kizaramo ndo kabisaaaaa! make kumwaga razi ni kwa kwenda mbele na kujirusha kwenye mihogo huku kelele za mchiriku zikiwanyima jirani usingizi!
Kibaya zaidi ni adha walio ipata askari wiki nzima iliyo pita kila siku kusimama barabarani kupigwa jua kali wakisubili msafara wa Salma upite akielekea bagamoyo kuanda shughuli asubuhi na kurejea jioni. Huo wa JK foleni ilikuwa mwisho watu tumeegeshwa pembeni mwa barabara nusu saa tukisubili msafara! ambao kwa vyovyote vile unatanua b aranabarani kwa gharama zetu!
Vitu vingine bwana ukisha kuwa bosi inabidi uviangalie kwa jicho la tofauti hasa ukizingatia dhamana uliyo beba na kwamba mwenyewe ndo kioo cha jamii!
Watu wa kwamtoro, maneno mengi, umbea kila kukicha. Tabia yao kuvumisha mambo wasiyo kuwa na uhakika nayo. Mademu, wababaikaji kinoma.
poti hata kama kuna ukweli jaribu kuficha mambo ya home! kumbk mdharau kwao mtumwa!