inaelekea unajichanganya kwa sababu umesema kuwa mwenye tatizo amekuomba na ametia saini yake, pia ukasema mwenye mke hajui kuwa wale watoto si wake na anahitaji mtoto wa tatu na pia amethibitika hawezi kuzaa.Sasa kipi ni kipi ktk maelezo yako.
Ndugu, kweli mwenzenu ni na shida na sijui zitaishaje. Juzi tu nilikuwa na tatizo la mke wangu na bado halijakwisha. Likaja hili la GF wangu wa zamani. Lakini, ninao watoto wawili nje ya ndoa kutoka kwa rafiki wa mke wangu. Mmoja ni mtoto wa kike (7 yrs) na mwingine wa kiume (4yrs). Rafiki wa mke wangu ambaye bado ana urafiki na mke wangu, alinililia sana baada ya kukaa miaka 2 bila kupata watoto kwamba wasingeweza kupata mtoto. Baada ya kudhibitika kwamba yeye hakuwa na tatizo la kupata watoto na mme wake ndo mwenye matatizo, aliniomba nizae nae watoto. Mimi niliyaweka kwenye maandishi na yeye akakubali kutia sahihi. Watoto hawa ni wazuri na wana afya njema, jamaa hajui lolote na anawapenda sana watoto hawa. Lakini ili niweze kuwalea watoto wangu vizuri, nimeona sasa wakati umefika niwachukue watoto wangu kwa vile tayali ninaushahidi wa kutosha kwamba ni wangu vikiwepo na vipimo vya vinasaba.
Lakini wasiwasi wangu ni kwamba yule ni mke halali wa mtu! Kisheria, japo sio kosa la jinai kuzaa na mke wa mtu, ni kosa la kawaida ambapo naweza kulipa fidia kubwa sana na pengine kutenganisha hata ndoa yao. Mke anataka nimpatie mtoto wa tatu kutokana na mme wake kuhitaji mtoto wa tatu. Sasa nifanyeje jamani? Nisaidie jamani nifanyeje? Mi nataka watoto wangu na sitaki tena kumpatia mtoto mwingine.
Wewe sio baba wa hao watoto, wewe ni sperm donor tu!
Baba yao ni huyo ambao anaishi nao kila siku.
Sikio la kufa Wiliyeye, kazana mwisho wake utaujua, ila nakukanya tena , na tena kuwa ACHA KABISA KUJARIBU KUJUA UBAYA WA MTU UKO WAPI, UTACHINJWA WEWE , HUYO MWANAMKE NA HAO WATOTO WOTE SASA UTAKUWA UMEAMBUA NN? KAMA MAISHA YAMEKUCHOSHA KUTOKANA NA NDOA YAKO KUWA MBAYA KILA KUKICHA MM NAKUSHAURI KUNYWA SUMU UFE TARATIBUUUUUUUUU BILA KWENDA NA MTU.Sasa watoto ndo nipotezee? Hii si damu yangu kabisa?
Sasa watoto ndo nipotezee? Hii si damu yangu kabisa?
Sikio la kufa Wiliyeye, kazana mwisho wake utaujua, ila nakukanya tena , na tena kuwa ACHA KABISA KUJARIBU KUJUA UBAYA WA MTU UKO WAPI, UTACHINJWA WEWE , HUYO MWANAMKE NA HAO WATOTO WOTE SASA UTAKUWA UMEAMBUA NN? KAMA MAISHA YAMEKUCHOSHA KUTOKANA NA NDOA YAKO KUWA MBAYA KILA KUKICHA MM NAKUSHAURI KUNYWA SUMU UFE TARATIBUUUUUUUUU BILA KWENDA NA MTU.
Sikio la kufa Wiliyeye, kazana mwisho wake utaujua, ila nakukanya tena , na tena kuwa ACHA KABISA KUJARIBU KUJUA UBAYA WA MTU UKO WAPI, UTACHINJWA WEWE , HUYO MWANAMKE NA HAO WATOTO WOTE SASA UTAKUWA UMEAMBUA NN? KAMA MAISHA YAMEKUCHOSHA KUTOKANA NA NDOA YAKO KUWA MBAYA KILA KUKICHA MM NAKUSHAURI KUNYWA SUMU UFE TARATIBUUUUUUUUU BILA KWENDA NA MTU.
Mi nina watoto wa kike wote kwa mke wangu wa ndoa, wako wawili
Lisa acha vitisho, yawezekana jamaa akijua kwamba hana nguvu na amepata watoto hao akanishukuru sana kwa kumuondolea aibu katika jamii. Mi nataka identity ya watoto wangu itambulike tu ili kama akiamua kuishi nao basi iwe kwake.
Sikio la kufa Wiliyeye, kazana mwisho wake utaujua, ila nakukanya tena , na tena kuwa ACHA KABISA KUJARIBU KUJUA UBAYA WA MTU UKO WAPI, UTACHINJWA WEWE , HUYO MWANAMKE NA HAO WATOTO WOTE SASA UTAKUWA UMEAMBUA NN? KAMA MAISHA YAMEKUCHOSHA KUTOKANA NA NDOA YAKO KUWA MBAYA KILA KUKICHA MM NAKUSHAURI KUNYWA SUMU UFE TARATIBUUUUUUUUU BILA KWENDA NA MTU.
Dhambi iko wapi wakati nimewaletea heshima?
Nashkuru kwa jibu lako!
Ushauri:
1. Kwa vile unao watoto japo ni wa kike, Mungu anaweza kukupa mwengine wa kiume, achana kabisa na huyo rafiki wa
mkeo, katisha mahusiano ya kimapenzi na wala usikubali kuzaa nae tena, mwambie ajaribu bahati yake kwa mwengine!
2. Kama hao watoto aliozaa na huyo mwanaume, amewazaa ndani ya ndoa, basi huna haki yeyote ya kimila au kisheria
juu yao, ni sawa na mtu aliedondosha mbegu kwenye shamba la mtu, mbegu hiyo ikamea vizuri na kutoa matunda bora.
Hiyo itakuwa ni faida ya mwenye shamba!
Hitimisho:
Kumbuka/elewa kwamba sio wote wenye watoto ndani ya ndoa, ni watoto wao wa damu, bali busara au ukorofi wa wakezao !!
Mm nimekupa njia nzuri na ya rahisi ya kuondoka katika ulimwengu huu ambao umekupa mgongo kwenye maisha yako ya NDOA, sasa unatapatapa ili uondoke na mtu, la hasha mm naokuomba WIliyeye acha hao watoto wa watu wakae kwa amani na utulivu walionao,Hapo kwamba ninywe sumu ndo umekoroga kabisa
We askari nini? Unataka niyavulumushe megine tena?
Lakini si ushahidi ninao? Siendi kwenye nyumba nafikiri kwenda mahakamani