Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 347
- Thread starter
- #81
inaelekea unajichanganya kwa sababu umesema kuwa mwenye tatizo amekuomba na ametia saini yake, pia ukasema mwenye mke hajui kuwa wale watoto si wake na anahitaji mtoto wa tatu na pia amethibitika hawezi kuzaa.Sasa kipi ni kipi ktk maelezo yako.
Udhibitisho anao mke wake ambaye hana tatizo hilo.