Mjadala: Watoto wa nje ya ndoa hawana haki kisheria

Heshima kwako Alinda.

Maneno yako mazito sana,nimerudia kulisoma andiko lako mata tatu.
Lazima nikiri kwamba nilikuwa nishushe nondo nzito za kuwakandamiza watoto wa nje ya ndoa lakini baada ya kusoma hoja zako kwa makini nimegundua kitu kimoja kikubwa "mtoto wa nje ya ndoa hakuchagua kuzaliwa nje ya ndoa laiti angepewa fursa ya kuchagua kwa vyovyote asingekubali kuzaliwa katika hali ya kudhalilika".

Wako watoto wanaozaliwa kabla ya baba ajafunga ndoa "watoto wa ujanani" utakuta mwanamke kabla ajaolewa anaelezwa kabisa kuna mtoto lakini mara nyingi wanawake wanawabaugua kiasi kwamba unashindwa kuwaelewa kabisa.
Kwakweli
 
Back
Top Bottom