Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,737
- 18,920
Daaah aisee mkuu[MENTION]Himidini[/MENTION]kiukweli kabisa kwa sasa hivi sie wazazi wa kesho kutwa tuna kazi sana yan..hapa home niko na niece wangu aisee yani huyu..ukimdanganya bibi ake ameenda sehemu ukivunga unampigia simu hewa(yani bila kushika simu) haachi kulia, ila ukichukua simu ukizuga unampigia na kumwambia kwamba awahi kurudi basi huyoo anayamaza kwa kweli kwa simu siku hizi mambo yamekua magumu..kuanzia facebook,instagram,yani social networks ni majanga..ingawa saa zingine mzazi anaweza kua mkali kitu ambacho mzee wangu mie alikua nashukuru nimekua na misingi na maadili mazuri kwa kiasi chake(sijisifii) lakini niko na mdogo wa we live under the same rules lakini yeye yuko tofauti na mie kabisa..mimi vitu napenda kuvia analyse sana..anaysis paralisis..ila yeye ni tofauti anafany tu...yani sijui nisemeje malezi na hulka ya mtoto mwenyewe na uwezo wake wa kutambua nifanye kipi nisifanye kitu inahusika katika kumkuza mtoto...huo ndo mtazamo wangu..!!!