Madam we una baby girl? Tuanzie hapo kwanzaUkizaa mwanaume umezalia wazazi wa mwenzioo
Ya wazazi wangu hyo hapo npo mbion kuimaliziaa wakaee kwa raha zaoView attachment 752946
Hakikaa...!! Nlikuwa nampenda sanaa alikuwa hana drama kabisaMasogange a
Masogange ameacha alama ya kudumu kwa familia na jumuiya inayomzunguka, kama alitambua wajibu wake atakuwa ameacha pengo kubwa huko.
Nilikuwa namuona kama Dada asiye na makuu, Pumzika kwa amani Dada Agnes Gerald.
Ya wazazi wangu hyo hapo npo mbion kuimaliziaa wakaee kwa raha zaoView attachment 752946
Watoto wa kike tuliumbiwa upendo wa dhati.
Hapa mada ni kwamba watoto wa kike tunakumbuka sana nyumbani.hiyo nyumba kaijenga kwa pesa za kuhongwa, huyo masogange akiuza tigo yake kwa watu 10 kwa laki 2 per head, atleast ana million 2 yake hapo, hujahesabu wale wanaume wanaohonga kwa kutafta sifa k.v million 1 etc espy
Inategemea na kipato, me nachosema majukum ya mwanaume katika maisha ni huwez linganisha na mke. Yeye hata asipodonate kwenye familia yake, maisha yataendelea. Lakini mwanaume watoto wakilala njaa hutaeleweka..Sawa mkuu lakini Kweli Hizo chenji unazompa wew ndo ajikusanye ajengee kwao wew kwenu hali mbayaa..!??
Kwa hiyo ukitoka na mkeo au familia yako utategemea wallet ya mwanamke? Sio kwa hawa black women, mizigo isingetuelemea tusingeshindwa kufanya hayo kwetu. Nazungumzia kwa sie wenye vipato vya kawaida...Kwa nini u-pay bills bar wakati nyumba ya wazazi wako inaanguka kijijini?
Hivi mbona huwa mnajifanya kama vile wake zenu hawana mchango wowote katika maiaha yenu ilihali familia nyingi akinamama ndio wanafanya zisonge!!!!Kwa hiyo ukitoka na mkeo au familia yako utategemea wallet ya mwanamke? Sio kwa hawa black women, mizigo isingetuelemea tusingeshindwa kufanya hayo kwetu. Nazungumzia kwa sie wenye vipato vya kawaida...