rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,164
- 43,858
Aisee nimeona picha ya kwa kina Agness Masogange, kuna nyumba flani ya kisasa ambayo Baba ake anadai Masogange alimjengea. Daah hapo ndo nikabaki najiuliza mbona kuna wanaume wengi maarufu walifariki lakini waliacha mazingira ya kwao ya ovyo sanaa..!! Au ndo kweli kuwa mtoto wa kike hujali na kuthamini sana kwao akifanikiwa???
Yaani video vixen kamfanyia mambo makubwa kama yale Baba ake lakini Wanaume sasa! Sitaki kuwazungumzia vibaya Marehemu wapumzike kwa amani ilaa hili limenionesha kitu. Wanaume tusijisahau tukiwa maarufu mjini hapa tukatelekeza kwetu.
R.I.P Masogange.
Yaani video vixen kamfanyia mambo makubwa kama yale Baba ake lakini Wanaume sasa! Sitaki kuwazungumzia vibaya Marehemu wapumzike kwa amani ilaa hili limenionesha kitu. Wanaume tusijisahau tukiwa maarufu mjini hapa tukatelekeza kwetu.
R.I.P Masogange.
