hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Bado sijaelewa. mnamaanisha watoto wa PK wa kuwazaa au wa nchini mwake?
WaBongo Tutauza nchi, na kuipoteza Tanzania !! Tukiendekeza kufuata vyambo HIVYO (mitego hiyo) kweli sura zinavutia LAKINI malengo yao hatujui !! Usiache mbachao kwa msala upitao!
Hatuhitaji mambo ya Kagame hapa. Peleka ujinga huo Rwanda
Mmeona tukiwahona hao watoto wake tutawahurumia, hakuna hata sisi tunawatoto poa zaidi ya hao.
mhhh jipemi moyo tu..yaani hapa uweke watoto wa wassira watafanana na hawa kweli au unajipa moyo tu....
Wanatoaga jicho?
Dah aisee Kagame ana vitoto vya ukweli,
Mukulu asiwatimue wote aiseee,