Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,281
SweetMoment UPDATE:
Inatokea SASA! Hospitalini Mercy, Sioux City IA
WATOTO Sadia na Wilson waruhusiwa rasmi KUTOKa hospitali ya Mercy, na wanaelekea kwenye MAKAZI yao MAPYA mjini Sioux City IA❤❤❤❤❤❤ MUNGU azidi kuwaangazia NURU za USO wake!
========UPDATES
Ambulance maalum imefika kuwachukua watoto majeruhi wa ajali ya Arusha ambao wanatibiwa nchini Marekani, Sadia na Wilson wameruhusiwa leo .
WATOTO wetu [HASHTAG]#MunguIbarikiTanzania[/HASHTAG]! Wawe SALAMA katika mikono ya MUNGU wetu. Asanteni WOTE kwa kuwaombea. Leo Sadia na Wilson wameruhusiwa kutoka hospitalini***
Daktari Bingwa wa Mt Meru akishiriki kuwatoa WATOTO Sadia na Wilson Mercy hospital Leo baada ya kuruhusiwa. Asante sana Dr Mashalla! Amani iwe nawe na Nesi wetu mpendwa kwa huduma kubwa mmefanya kwa WATOTO hawa na Tanzania! Much ❤❤❤
MTOTO Doreen ataendelea KUWEPO hospitali katika WODI ya WATOTO, akiendelea KUPATA huduma za KARIBU hadi itakapoamuliwa .Mungu ni mwema sana bado anaendelea vizuri
========UPDATES
UPDATE:-
KUTOKA Mercy Hospital, Sioux City IA
Jumanne, Mei 30
Saa 3:40 Asubuhi (Saa za Afrika Mashariki)
MTOTO Doreen: Malkia wa Roho za Watanzania:-
AKIWA ameendelea kuwepo katika WODI ya WATOTO Mercy Hospitalini, MTOTO Doreen ameelezewa KUENDELEA kuimarika na MWILI wake kuitikia MATIBABU anayoendelea NAYO. MTOTO Doreen alifanyiwa UPASUAJI kwenye "hip" (Chini ya Kiuno), kwenye bega, kwenye kidevu, na mwisho kwenye UTI WA MGONGO. Katika UMRI wake, AMEJARIBIWA na KUUMIZWA kusiko elezeka.
SASA, akiwa PICHANI na Mama yake saa 4 :00 asubuhi (Saa za CST-Sioux City IA), MTOTO Doreen amekuwa JIBU la MAOMBI ya wengi. Hakika MUNGU ni mwema! Watoto wetu wako salama mikononi mwake. USHUHUDA wa Doreen utukumbushe SOTE kuwa MUNGU akitaka KUKUBARIKI, hakuna awezaye KUZUIA. Tuendelee KUMWOMBEA***
Chanzo kwa hisani ya DMS, Mercy Hospital, Sioux City IA)
=====UPDATE
UPDATE:-
Jumapili, June 4.
HATIMAYE MTOTO Doreen aruhusiwa kutoka Hospitali ya Mercy,
Sioux City, IA. (Picha kutoka WODI ya WATOTO, Mercy Hospital, Sioux City IA)
Inatokea SASA! Hospitalini Mercy, Sioux City IA
WATOTO Sadia na Wilson waruhusiwa rasmi KUTOKa hospitali ya Mercy, na wanaelekea kwenye MAKAZI yao MAPYA mjini Sioux City IA❤❤❤❤❤❤ MUNGU azidi kuwaangazia NURU za USO wake!
========UPDATES
Ambulance maalum imefika kuwachukua watoto majeruhi wa ajali ya Arusha ambao wanatibiwa nchini Marekani, Sadia na Wilson wameruhusiwa leo .
WATOTO wetu [HASHTAG]#MunguIbarikiTanzania[/HASHTAG]! Wawe SALAMA katika mikono ya MUNGU wetu. Asanteni WOTE kwa kuwaombea. Leo Sadia na Wilson wameruhusiwa kutoka hospitalini***
Daktari Bingwa wa Mt Meru akishiriki kuwatoa WATOTO Sadia na Wilson Mercy hospital Leo baada ya kuruhusiwa. Asante sana Dr Mashalla! Amani iwe nawe na Nesi wetu mpendwa kwa huduma kubwa mmefanya kwa WATOTO hawa na Tanzania! Much ❤❤❤
MTOTO Doreen ataendelea KUWEPO hospitali katika WODI ya WATOTO, akiendelea KUPATA huduma za KARIBU hadi itakapoamuliwa .Mungu ni mwema sana bado anaendelea vizuri
========UPDATES
UPDATE:-
KUTOKA Mercy Hospital, Sioux City IA
Jumanne, Mei 30
Saa 3:40 Asubuhi (Saa za Afrika Mashariki)
MTOTO Doreen: Malkia wa Roho za Watanzania:-
AKIWA ameendelea kuwepo katika WODI ya WATOTO Mercy Hospitalini, MTOTO Doreen ameelezewa KUENDELEA kuimarika na MWILI wake kuitikia MATIBABU anayoendelea NAYO. MTOTO Doreen alifanyiwa UPASUAJI kwenye "hip" (Chini ya Kiuno), kwenye bega, kwenye kidevu, na mwisho kwenye UTI WA MGONGO. Katika UMRI wake, AMEJARIBIWA na KUUMIZWA kusiko elezeka.
SASA, akiwa PICHANI na Mama yake saa 4 :00 asubuhi (Saa za CST-Sioux City IA), MTOTO Doreen amekuwa JIBU la MAOMBI ya wengi. Hakika MUNGU ni mwema! Watoto wetu wako salama mikononi mwake. USHUHUDA wa Doreen utukumbushe SOTE kuwa MUNGU akitaka KUKUBARIKI, hakuna awezaye KUZUIA. Tuendelee KUMWOMBEA***
Chanzo kwa hisani ya DMS, Mercy Hospital, Sioux City IA)
=====UPDATE
UPDATE:-
Jumapili, June 4.
HATIMAYE MTOTO Doreen aruhusiwa kutoka Hospitali ya Mercy,
Sioux City, IA. (Picha kutoka WODI ya WATOTO, Mercy Hospital, Sioux City IA)