Mandown JF-Expert Member Joined Apr 8, 2012 Posts 1,665 Reaction score 507 Aug 12, 2015 #2 Ntazaa wengina maanake hapo hasara !
autorun255 JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 1,105 Reaction score 364 Aug 12, 2015 #3 Kwanza unawapiga picha kama alivyofanya Alafu unacheeekaaaaaaa. Usiwaogeshe kwa masaa kadhaa wabaki na rangi zao.
Kwanza unawapiga picha kama alivyofanya Alafu unacheeekaaaaaaa. Usiwaogeshe kwa masaa kadhaa wabaki na rangi zao.
maramakoga Member Joined Jul 6, 2015 Posts 27 Reaction score 32 Aug 12, 2015 #4 kwa wenzetu mzazi wa watoto hao hatakuwa amegundua kuwa watoto wake wanataka kuwa mafundi rangi so kawapeleka skull haoo
kwa wenzetu mzazi wa watoto hao hatakuwa amegundua kuwa watoto wake wanataka kuwa mafundi rangi so kawapeleka skull haoo
webondo JF-Expert Member Joined Apr 29, 2012 Posts 1,713 Reaction score 383 Aug 12, 2015 #5 Unawapongeza kwa kazi nzuri
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,622 Aug 12, 2015 Thread starter #6 Mandown said: Ntazaa wengina maanake hapo hasara ! Click to expand... Af hawa unawatupa?
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,622 Aug 12, 2015 Thread starter #7 autorun255 said: Kwanza unawapiga picha kama alivyofanya Alafu unacheeekaaaaaaa. Usiwaogeshe kwa masaa kadhaa wabaki na rangi zao. Click to expand... Wenzio ndo wanainjoi kubaki na hayo marangi
autorun255 said: Kwanza unawapiga picha kama alivyofanya Alafu unacheeekaaaaaaa. Usiwaogeshe kwa masaa kadhaa wabaki na rangi zao. Click to expand... Wenzio ndo wanainjoi kubaki na hayo marangi
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,622 Aug 12, 2015 Thread starter #8 maramakoga said: kwa wenzetu mzazi wa watoto hao hatakuwa amegundua kuwa watoto wake wanataka kuwa mafundi rangi so kawapeleka skull haoo Click to expand... Na humo ndani sijui unasafishaje
maramakoga said: kwa wenzetu mzazi wa watoto hao hatakuwa amegundua kuwa watoto wake wanataka kuwa mafundi rangi so kawapeleka skull haoo Click to expand... Na humo ndani sijui unasafishaje
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,622 Aug 12, 2015 Thread starter #9 webondo said: Unawapongeza kwa kazi nzuri Click to expand... Eeh! haya
maramakoga Member Joined Jul 6, 2015 Posts 27 Reaction score 32 Aug 12, 2015 #10 TV unanunua nyingine.kochi pia maisha yanaendelea
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,622 Aug 12, 2015 Thread starter #11 maramakoga said: TV unanunua nyingine.kochi pia maisha yanaendelea Click to expand... Na hela uwe nayo sasa...hivi hakuna namna ya kusafisha?
maramakoga said: TV unanunua nyingine.kochi pia maisha yanaendelea Click to expand... Na hela uwe nayo sasa...hivi hakuna namna ya kusafisha?
maramakoga Member Joined Jul 6, 2015 Posts 27 Reaction score 32 Aug 12, 2015 #12 ukitaka kujua namna ya kusafisha wataalamu wapo ukawa boss kubwa maana duuuuh
born to win JF-Expert Member Joined Jun 21, 2015 Posts 561 Reaction score 168 Aug 12, 2015 #13 Ntawapongeza maana wameonyesha vipaji vyao
Mentor JF-Expert Member Joined Oct 14, 2008 Posts 20,334 Reaction score 23,940 Aug 12, 2015 #14 watalamba stick...!
happiness win JF-Expert Member Joined Aug 30, 2011 Posts 2,461 Reaction score 1,394 Aug 12, 2015 #15 Atanikoma aliyewaaacha hadi wakafanya hayo makorokoro!
T Tata JF-Expert Member Joined Dec 3, 2009 Posts 5,799 Reaction score 2,733 Aug 12, 2015 #16 Watoto hawana tatizo hapo mwenye tatizo ni aliyeacha kopo la rangi.
fareed uziel JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 665 Reaction score 720 Aug 12, 2015 #17 nitawapa UKAWA wawasafishe
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Aug 12, 2015 #18 Watoto bana
Squidward JF-Expert Member Joined Jul 21, 2014 Posts 8,386 Reaction score 10,458 Aug 12, 2015 #19 fareed uziel said: nitawapa UKAWA wawasafishe Click to expand... hahaha we ndo umeua kabixaa
I ikisimama panda JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 2,726 Reaction score 2,402 Aug 13, 2015 #20 wengine hapo ndo watakua wamepata alibi ya kumfukuza mke na watoto ili atie ndani bibi ingine kwa amani na uhuru na umoja...
wengine hapo ndo watakua wamepata alibi ya kumfukuza mke na watoto ili atie ndani bibi ingine kwa amani na uhuru na umoja...