Watoaji huduma za mitandao ya simu wao ndio wezi wa kubwa wa mitandao

Mshati940

Member
Apr 2, 2015
72
53
Leo bhana nilikua nafanya mawalisiano na mtu kwa kupitia laini yangu ya Airtel ili niweze kumtumia hela,
Hivyo nikawa nimemtumia sms anitumie namba yake ya simu ambayo naweza kumtumia fedha. Ghafla ukaja ujumbe muda huo huo kwamba iyo pesa utume kwenye namba hii na jina litakuja flani..... Na uzuri alisema jina linalofanana kabisa na jina la uyo mtu ninalolifahamu sema tu wakati nataka kutuma fedha nikampigia nikamuuliza mbona namba uliyonitumia ni ya voda wakati nilikuomba ya tigo, akaniambia mbona Mimi sina namba ya voda.... Hapo ndio nikasema dah kuna boya aliweza kujua mawasiliano yangu akatuma ile sms. Je inawezaje akawa mtu baki tu asiwe na uhusika kwa namna yoyote na watoa huduma za mitandao?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo bhana nilikua nafanya mawalisiano na mtu kwa kupitia laini yangu ya Airtel ili niweze kumtumia hela,
Hivyo nikawa nimemtumia sms anitumie namba yake ya simu ambayo naweza kumtumia fedha. Ghafla ukaja ujumbe muda huo huo kwamba iyo pesa utume kwenye namba hii na jina litakuja flani..... Na uzuri alisema jina linalofanana kabisa na jina la uyo mtu ninalolifahamu sema tu wakati nataka kutuma fedha nikampigia nikamuuliza mbona namba uliyonitumia ni ya voda wakati nilikuomba ya tigo, akaniambia mbona Mimi sina namba ya voda.... Hapo ndio nikasema dah kuna boya aliweza kujua mawasiliano yangu akatuma ile sms. Je inawezaje akawa mtu baki tu asiwe na uhusika kwa namna yoyote na watoa huduma za mitandao?????

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo bhana nilikua nafanya mawalisiano na mtu kwa kupitia laini yangu ya Airtel ili niweze kumtumia hela,
Hivyo nikawa nimemtumia sms anitumie namba yake ya simu ambayo naweza kumtumia fedha. Ghafla ukaja ujumbe muda huo huo kwamba iyo pesa utume kwenye namba hii na jina litakuja flani..... Na uzuri alisema jina linalofanana kabisa na jina la uyo mtu ninalolifahamu sema tu wakati nataka kutuma fedha nikampigia nikamuuliza mbona namba uliyonitumia ni ya voda wakati nilikuomba ya tigo, akaniambia mbona Mimi sina namba ya voda.... Hapo ndio nikasema dah kuna boya aliweza kujua mawasiliano yangu akatuma ile sms. Je inawezaje akawa mtu baki tu asiwe na uhusika kwa namna yoyote na watoa huduma za mitandao?????

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi karibuni tutaingia awamu nyingine ya kusajili kwa njia ya viganja vya miguu nafikiri kwa kiwango fulani tutakuwa tumedhibiti wizi
 
Coincidence tu hiyo.

Matapeli wa hiyo pesa kwenye namba hii, hutumia apps za kutuma bulk sms, let say ana namba za simu za watu 300 ana-command msg kwenda kwa hao watu 300 kwa wakati mmoja, hapo kuna mtu 1 atakuwa alikua na mpango wa kumtumia kodi mwenye nyumba wake, watu 2 walikua na mpango wa kutuma pesa kwa supplier awatumie material ya ujenzi, watu 4 walikua wanatuma ada kwa watoto wao, mtu 1 ambaye ni wew ulikua na mpango wa kumtumia huyo mshkaji wako pesa kama hivyo yani.

Ni kama nyavu inapitishwa baharini wanachokutana nacho wanakivua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani inavyoonekana jamaa (baadhi) waliopo tawi fulani la airtel wanashirikiana na wenzao wa HQ kuibia wananchi.

Kwenye senario ya jamaa hawachomoki.

Ngoja tusimwage kwenye kuku wengi!

Za mwizi ni arobaini.

Hii itadraw attention mpaka juu!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Coincidence tu hiyo.

Matapeli wa hiyo pesa kwenye namba hii, hutumia apps za kutuma bulk sms, let say ana namba za simu za watu 300 ana-command msg kwenda kwa hao watu 300 kwa wakati mmoja, hapo kuna mtu 1 atakuwa alikua na mpango wa kumtumia kodi mwenye nyumba wake, watu 2 walikua na mpango wa kutuma pesa kwa supplier awatumie material ya ujenzi, watu 4 walikua wanatuma ada kwa watoto wao, mtu 1 ambaye ni wew ulikua na mpango wa kumtumia huyo mshkaji wako pesa kama hivyo yani.

Ni kama nyavu inapitishwa baharini wanachokutana nacho wanakivua.

Sent using Jamii Forums mobile app


Ni kweli coincidence yaweza tokea lakini kuhusu yule jamaa yangu haikuwa coincidence hata kidogo.

Kuna michezo michafu wanaicheza ya wizi baadhi ya wafanyakazi wa kampuni za simu hususa airtel.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wa mitandao kama sio wezi basi wanashirikiana na wezi kwa karibu mno! Angalia...ukipiga cm na ktk kuongea ukasema "nitumie hela" au " nitakutumia hela" yaani ukiongelea tu mambo ya hela ukikata tu cm unapata msg ya matapeli!

Hawa watu itakuwa wametegesha ktk mfumo wa kompyuta ukisikia tu maneno hayo outomatic unatuma msg!

Mimi ni mara nyingi napata msg za kitapeli wakati nikitumia sana huduma za hela au nikiwa naongelea hela mara nyingi ktk cm ninazoongea nazo,

Siamini kama ni kweli kuna mtu anakuwa kwa bahati mbaya tu amesikiliza mawasiliano yangu.

Inawezekana wengine wanatuma msg tu kwa kubahatisha.

Sent using Redmi Y2
 
Coincidence tu hiyo.

Matapeli wa hiyo pesa kwenye namba hii, hutumia apps za kutuma bulk sms, let say ana namba za simu za watu 300 ana-command msg kwenda kwa hao watu 300 kwa wakati mmoja, hapo kuna mtu 1 atakuwa alikua na mpango wa kumtumia kodi mwenye nyumba wake, watu 2 walikua na mpango wa kutuma pesa kwa supplier awatumie material ya ujenzi, watu 4 walikua wanatuma ada kwa watoto wao, mtu 1 ambaye ni wew ulikua na mpango wa kumtumia huyo mshkaji wako pesa kama hivyo yani.

Ni kama nyavu inapitishwa baharini wanachokutana nacho wanakivua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanatuma meseji randomly so atayenasa akaingia mkenge ndo huyohuyo furaha kwao!
Ona hizo zangu hapo na sikua na ahadi na mtu yoyote!
Screenshot_20200118-220603_Messages.jpeg
Screenshot_20200118-220626_Messages.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom