Watoa huduma ya internet ya fiber Sinza

Watoa huduma ya internet ya fiber Sinza

gasgas

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2015
Posts
1,098
Reaction score
994
Habari za asubuhi.

Naomba kufahamishwa watoa huduma ya internet kwa fiber wanaofika cover maeneo ya Sinza
 
Habari za asubuhi.

Naomba kufahamishwa watoa huduma ya internet kwa fiber wanaofika cover maeneo ya Sinza
Nadhani sisi tunaohitaji huduma hizi kwa huku Sinza idadi yetu ni 'negligible', nimeongea sana na GO na wale ZUKU wanasema hawapo wala hawajui lini watakuwepo, ila wanasema wakiwepo watanifahamisha, mwaka wa nne huu sasa. Hata ukiangalia kasi ya internet ya Vodacom maeneo haya, nadhani tunatumia watu wengi sana kwenye antenna chache(BTS) kwahiyo ni slow siku zote tu.

TUHAMIE MASAKI
 
Nadhani sisi tunaohitaji huduma hizi kwa huku Sinza idadi yetu ni 'negligible', nimeongea sana na GO na wale ZUKU wanasema hawapo wala hawajui lini watakuwepo, ila wanasema wakiwepo watanifahamisha, mwaka wa nne huu sasa. Hata ukiangalia kasi ya internet ya Vodacom maeneo haya, nadhani tunatumia watu wengi sana kwenye antenna chache(BTS) kwahiyo ni slow siku zote tu.

TUHAMIE MASAKI
Dah noma sana.

TTCL tu ndio imefika huku na unaelewa jinsi ilivyo
 
Back
Top Bottom