Water quality laboratory technology

Water quality laboratory technology

Joined
Jun 16, 2016
Posts
68
Reaction score
39
Habarini wakuu....hvi hii course ya water quality and laboratory technology kutoka chuo cha maji ubungo ina uwanja mkubwa wa ajira kweli? Naomba mwenye uelewa anijuze nsije zama nkajikuta nasugua gaga kitaa...mana nimeenda pale chuoni wakanielekeza kwa matokeo yangu naweza soma hyo course....mwenye uelewa na hii course anijuze kabla sjamake final decision...Watanzania wote ni ndug
 
Kama chuoni wamekuelekeza omba hiyo hiyo,hao wataalam wanatakiwa kwenye sekta ya maji hususan Ubora wa maji safi.Kasome hiyo kozi usiangalie upatikanaji wa Ajira kwani kila zama zinakuwa na kipaumbele chake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua ni life science mazee ambayo ina matawi mengi sana..ila ktk hii naona inahusu zaidi microbiology course ambayo ina deal zaidi na vijidudu ambavyo havionekani kwa macho ya kawaida ila darubini za maabara na uchunguzi wa kina kwa uj umla na inawezekana ni Moja ya course ambayo sio popular sana Tz lakini mtoni inalipa sana na channels za kazi njenje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakua ni life science mazee ambayo ina matawi mengi sana..ila ktk hii naona inahusu zaidi microbiology course ambayo ina deal zaidi na vijidudu ambavyo havionekani kwa macho ya kawaida ila darubini za maabara na uchunguzi wa kina kwa uj umla na inawezekana ni Moja ya course ambayo sio popular sana Tz lakini mtoni inalipa sana na channels za kazi njenje


Sent using Jamii Forums mobile app[/QUO

Ahsante mkuu
 
Back
Top Bottom