WATER PUMP ZA SOLAR
Ndugu mkulima, je wewe ni miongoni mwa wanaotumia zaidi ya elfu 50 kwa siku kununua mafuta ya kuendesha pump kwa sababu una shamba kubwa. Hapo ukipiga hesabu ndani ya miezi 3 ni zaidi ya million 4
Tambua kuwa pump za solar na pump za mafuta tofauti yake ni moja tu, hii inatumia mafuta na ile ni umeme wa jua .lakini mambo mengine ni sawa. Kama ilivyo pump ya mafuta ikiharibika unanuna spare na kutengeneza . Hivyo hivyo pump za solar ikitokea imeharibika basi spare zake zipo na mafundi wanatengeneza.
Ndugu mkulima unahitaji pump ya solar na solar pannel tu kufanya umwagiliaji.
Bei za pump ni kama ifuatavyo
1Hp
2inch
Bei 970,000
2Hp
3inch
Bei 1,350,000
3Hp
4inch
Bei 1,500,000
Utahitaji solar pannel sita ili kufanya umwagiliaji uwe mwepesi.
Panel 6 za solar ni 1,680,000
Tukitoa mfano mtu ambaye atachukua water pump ya inchi 3 na solar pannel 6 jumla atatumia 3,030,000
Hapo ndugu mkulima atatumia takribani milion 3 ndani ya mwaka bila pump kuleta changamoto yoyote kama matumizi yako ni mazuri
N.B UKIWA NA MATUMIZI MAZURI UTAKAA NA PUMP ZAIDI YA MWAKA BILA KUPELEKA KWA FUNDI.
Hapo ndugu mkulima utaokoa
1. Pesa
2. Muda wa kufata mafuta sheli
3. Na mazingira pia
KARIBUNI SANA
Tupo kariakoo
0788195653
Jiunge group la WhatsApp
Ndugu mkulima, je wewe ni miongoni mwa wanaotumia zaidi ya elfu 50 kwa siku kununua mafuta ya kuendesha pump kwa sababu una shamba kubwa. Hapo ukipiga hesabu ndani ya miezi 3 ni zaidi ya million 4
Tambua kuwa pump za solar na pump za mafuta tofauti yake ni moja tu, hii inatumia mafuta na ile ni umeme wa jua .lakini mambo mengine ni sawa. Kama ilivyo pump ya mafuta ikiharibika unanuna spare na kutengeneza . Hivyo hivyo pump za solar ikitokea imeharibika basi spare zake zipo na mafundi wanatengeneza.
Ndugu mkulima unahitaji pump ya solar na solar pannel tu kufanya umwagiliaji.
Bei za pump ni kama ifuatavyo
1Hp
2inch
Bei 970,000
2Hp
3inch
Bei 1,350,000
3Hp
4inch
Bei 1,500,000
Utahitaji solar pannel sita ili kufanya umwagiliaji uwe mwepesi.
Panel 6 za solar ni 1,680,000
Tukitoa mfano mtu ambaye atachukua water pump ya inchi 3 na solar pannel 6 jumla atatumia 3,030,000
Hapo ndugu mkulima atatumia takribani milion 3 ndani ya mwaka bila pump kuleta changamoto yoyote kama matumizi yako ni mazuri
N.B UKIWA NA MATUMIZI MAZURI UTAKAA NA PUMP ZAIDI YA MWAKA BILA KUPELEKA KWA FUNDI.
Hapo ndugu mkulima utaokoa
1. Pesa
2. Muda wa kufata mafuta sheli
3. Na mazingira pia
KARIBUNI SANA
Tupo kariakoo
0788195653
Jiunge group la WhatsApp